Filamu za kibongo kuwashirikisha mademu warembo je kunaiua tasnia au kunaisadia?

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Wakuu nimekaa na kujiuliza swali kwanin waongozaj wa filamu wa kibongo wanawatumia wanawake warembo baada ya wenye vipaji kama mwanainda,monalisa,tea na wengine wenye vipaj vya fani hiyo.Je ni soko linaitaji hvyo au n tamaa tu za kuuza filamu kisa wapo warembo ambao hawaoni hasara kwa kuwa hawayajui maadili ya uigizaji.
kwakwo mdau unaonaje je mabint warembo wazidi kutumika au mwanamke mwenye kipaj ndio apewe kipaumbele
 
Bongo hakuna Filamu. Kesho Jumapili sikosi kuangalia Mzengwe.
 
Nadhani ungeiangalia tasnia ya filamu kwa eneo paaana zaidi....coz kwa hali ilivyo bongo sioni tatizo kabisa kwa hayo wanayofanya......let them do it.

Hebu jiulize kwanza huyo unayemtaja kama muongozaji...yeye ni nani (ingawa nadhani ulitaka kumaaanisha producer)...yeye mwenyewe amejisikia tu kuwa film producer, so ameingia huko kwa sababu ametamani kufanya hicho anachofanya...so kumlaumu ni kumuonea.

Nadhani tuendelee kusubiri tu na kuomba Mungu, wakati utafika na tukawa na tasnia ya filamu Tanzania..mambo yote yanayohitajika kwenye filamu yatafanyika automatically....namaanisha tutakuwa na Film producers, Film Directors, Cinematografers, Actors, Screen writers n.k.

Unachofanya hapa ni kusubiri MACHUNGWA kwenye mti wa MTARAKWA, kisha unaamua kuulaumu huo mtarakwa.................you cant be serious man..
 
Kila mdemu mzuri bongo basi anakipaji cha kuigiza filamu! Acha niendelee kutazama filamu za mkandala rufufu (zilizotafsiriwa kiswahili).hizo za waswahili nunue ninyi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…