Filamu Zilizotabiri ‘Future of Humanity’ kwa Usahihi

Miaka ya nyuma kidogo Mark Zuckerberg wa Facebook aliwahi kutengeneza game lililoshahabiana kbsa na na COVID-19
 
Nimekusoma mkuu. Something like pyramid. Wachache hapa juu wanaendesha dunia kwa akili kubwa wakati wengi huku chini wakiishi kutegemea hao hapo juu. Kuhusu hiyo Truman bado sijaicheki ila nitaitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…