Filisika ujue tabia ya mkeo

.....halina ubishi hilo nakumbana na hilo muda huu...mwanamke bila hela :A S 11:

Kusanya fahamu zako. . . . .amua mara moja kwa maisha yako yooote kama kweli sababu ni pesa mtimue yaani usione huruma hata chembe na watoto kama wadogo muachie aende nao sababu kama kweli mpenda pesa atakutesa na kukufedhehesha saana tu dunia uione chungu!!!!

Kama una roho ngumu hama wewe muachie kila kitu jikusanye kaanze upya!!!
Watoto wakikua kama una mapenzi nao ya dhati na ulitumia jasho na muda kuwalea hiyo mbegu haifi kamwe watakuja tu kwako!!!!

Be a man and move on!!!
 
Wanawake kuwa nao ni kazi na inahitaji moyo lakini tunapenda kuwa nao ni vile tu hamna namna.
Respect kwa wanawake wote mnaojitambua.
 
Word mkuu
 
Iko hivi: Mwanaume akiwa na hela posibbility ya Kupiga Nje ni asilimia 99% point 99999.
Na mwanaume akikosa hela/kufilisika then Mwanamke wake kugongwa nje ni asilimia 99.99999%
Tafakari!!! Chukua Hatua!!!

Mmh...hii research ni ya wapi?? Wanawake wamebashiriwa uvimilivu,wanaume.wamebashiriwa kujikweza upo???
 
Mmh...hii research ni ya wapi?? Wanawake wamebashiriwa uvimilivu,wanaume.wamebashiriwa kujikweza upo???

Umeufanyia research huo uvumilivu wa wanawake....maana kila kisa kikija humu ni mwanaume analia demu au mke anamsumbua kisa kipato OR angalia tu jinsi wanawake humu wanavyocoment ikija topic inayohusu hela....wanaonyesha Waziwazi wanaabudu Pesa...sasa sijui huo uvumilivu utatoka wapi
 

Kweli naanza kuamini mtt ni wamama
 
Hata bajaji zinatuasa
 

Attachments

  • 1420197853168.jpg
    95.4 KB · Views: 165
Mmh...hii research ni ya wapi?? Wanawake wamebashiriwa uvimilivu,wanaume.wamebashiriwa kujikweza upo???

Uvumilivu ni kwa zamani kwa wanawake wa sasa wamefundishwa iuvumilivu ilikuwa ni historia ya mabibi zao. sasa wanaume wa sasa hawafundishwi kuwa mambo yamebadilika bado wako na historia za zamani kuwa wanawake ni wavumilivu na waaminifu matokeo yake wanakutana na wanawake wanakuwa na higher expectations kumbe wana deal na different kizazi wanalalamika
 
Utajua ana uvumilivu kiasi gani.
Utajua kama ni pesa zilimvuta kwako au mapenzi ya kweli.
Utajua mapenzi yanapungua, yanaongezeka ama kama siku zote.
Utajua ...

acha tu nisijue tabia yake.....ILA KUFILISIKA HAPANA MKUU
 
siku hizi kuolewa ni ujasiliamali, unategemea mwanamke aendelee kukupenda wakati hauna kitu, yaani cha maana ulichobakiwa nacho ni teticles na pe....s tu! mwanamke akiendelea kukupenda ktkt mazingira kama hayo, huyo atakuwa ni mnafiki!
 
Mwanamke yoyote anahitaji security katika maisha yake na wanae! Ukiweza timiza hilo atakupenda milele ingawa anaweza kuchepuka, lakini ni kudeal na situation za maisha mfano hapati ngono vzr hom,au anaona humkubali au anataka aone kama bado analipa
Ila ataendelea kukupenda, ila uanaume wako ukiisha basi habari yako imeisha
 
Kwa baadhi ya majibu yaliyo ndani ya thread hii inaonyesha wazi kuwa wife wangu yumo ndani ya jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…