hahaha chica nipo aisee!....si unajua tena invisible toka anipe ajira ananifanyisha kazi sana aafu yeye ana relax!....Basi imekuwa balaha tupu shosti wewe mzima lakini.....
Hongera sana, wat an opportunity!!! anrelax pembeni yako I can imagine heheeeee!!!
Niko powa sana, nikashangaa ukanitupa kwa Bala afu hat akuulizia maendeleo ya miyo yetu hutaki.......vibaya hivyo???
Hahahaha shostito sijakutupa kabisa actual nilikuwa nataka nikupgie nikuulize maendeleo so far....Namamii shem wangu Bala hafanyi kosa.....shosti lets meet this evening for cup of tea basi at my crib unaonaje unipe updates hahahahaha!..I miss you though shosti wangu lakuchumpa...
Duh kijana wa Mitchell,Nsibirwa Livingstone unaona wewe!!Mpaka spelling error umeinotice?
hahaaaa hukufanya kosa pale....so far so gud!!!
kwa crib yako ntakuja tena na hiyo cup of tea ndo mwake kabisa!!!
same here shosti wangu la kuparama (hahaaaa we BM haya maneno ni y akizamani lol)
eeh shostito...it was nice seeing youjana yaani eeh we should do this more and more au siyo!.......Hope my shem Bala hakumind umerudi home late!.....
hakujali kabisa shosti na hivi nilikuwa kwako!!!
mambo yako vipi?
mmmh shosti leo nilikupatia match....kwenye thread ya JF couples hahaaaaaaaa!!!!
hahaha ipo wapi hiyo topic tena!na miye niitembelee?....JF couples?mwenzio sina mwenza jf wa kwangu haingiii humu shosti si unamjua mwenyewe lakini......hahahahahaha
hakujali kabisa shosti na hivi nilikuwa kwako!!!
mambo yako vipi?
mmmh shosti leo nilikupatia match....kwenye thread ya JF couples hahaaaaaaaa!!!!
Halafu wala hakuja kuithibitisha..........Bado nasubiri kwa hamu sana uthibitisho!
hahaha ipo wapi hiyo topic tena!na miye niitembelee?....JF couples?mwenzio sina mwenza jf wa kwangu haingiii humu shosti si unamjua mwenyewe lakini......hahahahahaha
na wewe una haraka kama sijui nini vile..................
Masa waliku-match na Maria Roza...................hahaaaa hapa lazima utembeze nondo!!!!!!!!!!!Yeah sema naye! Mafua na flue kwisha thanks kwa ile mizizi pori!
tayari umenikwaza kwa kweli......umeniharibia flow n possibly kila kitu!!!Ooops! Hivi huku nimefikaje tena? Nitakuwa nimekosea njia!
Samahani kama nimekukwaza!
hebu kafukue fukue kwenye mapenzi, urafiki na mahusiano bana.....hahaaaaa ila nlokupa anakufaa sana!!! trust me....
Masa waliku-match na Maria Roza...................hahaaaa hapa lazima utembeze nondo!!!!!!!!!!!
Bado naona na bosi walimkimbia anamkono still.....kweli mjini mambo hayaendi bila kina Ruge na Kusaga...
View attachment 8783
Yeah sema naye! Mafua na flue kwisha thanks kwa ile mizizi pori!
Hebu niambie wangu ipo wapi hiyo MR ni mwanaume kwani mimi GAY? My my my GOD