Finalissima, Italy and Argentina, Tomorrow!

Finalissima, Italy and Argentina, Tomorrow!

Halafu ni kombe la pili hili
1 Maradona alichukua
2 Messi pia
 
Kubeba World Cup ni mchezo wa kitoto? Kwanini wapenzi wa Messi mumekua hamukati tamaa?

Kukata tamaa ni hali ya kupoteza matumaini, so acha twendelee kujipa hope, copa America tayari, finallisima tayari.

Na kwa taarifa yako, usifikiri kila mshabiki wa Argentina yupo pale kwa sababu ya mtu flani, kama ndio unawaza hivyo umefeli kijana, wengine hapa ni mshabiki wa Argentina miaka na miaka kabla hata ya akina Tevez, Messi, Aguero n.k


Mfano: atokee mtu aseme brazil au ureno itachukua ubingwa, kwahiyo hawa watakua direct ni mashabiki wa ronaldo na neymar? Kwamba akili yako itavyokutuma ndivyo ilivyo! Japo wapo wanaoshabikia sababu ya mtu flani, lakini ni haki yao wala isikuume.
 
Wapi imeandikwa ya kirafiki?

Finallisima maana yake kirafiki? Ila wabongo bwana, mtihani sana.

Mkuu Kwa mujibu wa taratibu za fifa hio mechi inahesbika kama ni mechi ya kirafiki, Mana hilo kombe halitambuliwi na fifa. Haina tafouti na Emirate cup au Audi Cup.
 
Mkuu Kwa mujibu wa taratibu za fifa hio mechi inahesbika kama ni mechi ya kirafiki, Mana hilo kombe halitambuliwi na fifa. Haina tafouti na Emirate cup au Audi Cup.

Vyovyote sawa mkuu, ila Argentina wanastahili kongole. Imagine Italy imetoka kuwa bingwa wa euro, maana yake timu alizokutananazo huko nyuma sio ndogo mpaka akaingia final na uingereza, hatimae italy akawa bingwa. Point yangu hapa Argentina wako vizuri sana kuliko timu yoyote kwa sasa.
 
Vyovyote sawa mkuu, ila Argentina wanastahili kongole. Imagine Italy imetoka kuwa bingwa wa euro, maana yake timu alizokutananazo huko nyuma sio ndogo mpaka akaingia final na uingereza, hatimae italy akawa bingwa. Point yangu hapa Argentina wako vizuri sana kuliko timu yoyote kwa sasa.

Mkuu Argentina walishusha full mziki kwenye ile mechi, Italy ilikosa zaidi ya wachezaji 7. kwahiyo hakikua kigezo tosha baina yao.

Na Pia Kimchezo ni kweli wanaonekanwa wapo vizuri ila bado sio kigezo tosha, Timu za America ya Kusini zimekua zikicheza ovyo sana kwenye mashondano ya World Cup kwa muda mrefu sasa, Standard ya ubora wa timu zao Umeshuka sana.
 
Mkuu Argentina walishusha full mziki kwenye ile mechi, Italy ilikosa zaidi ya wachezaji 7. kwahiyo hakikua kigezo tosha baina yao.

Na Pia Kimchezo ni kweli wanaonekanwa wapo vizuri ila bado sio kigezo tosha, Timu za America ya Kusini zimekua zikicheza ovyo sana kwenye mashondano ya World Cup kwa muda mrefu sasa, Standard ya ubora wa timu zao Umeshuka sana.

Pamoja sheikh wangu
 
Back
Top Bottom