Finally Bongo Movies Kwenda International!!!!!!!!!! Richard Mzirayi na Mkewe Wawekeza Mpunga Mnene!!

Huo wa home ndo mzuri, manake hautakosa nazi huo! Wacha nijiandae ili mradi usije ukaleta zile za "mnh, hutaniwi!"

Hahaaa hamna wee jiandae.
Tena fanya fasta suije kuta mapochopocho yamepoa.
Raha ya mpunga uule na moto uliotoka nao jikon,sio wa kupasha kweny microwave.
Merry christmas my dear.
 
Hahaaa hamna wee jiandae.Tena fanya fasta suije kuta mapochopocho yamepoa. Raha ya mpunga uule na moto uliotoka nao jikon,sio wa kupasha kweny microwave. Merry christmas my dear.
Thanks my dear, Merry Christmas to you too. Yaani huo wa moto moto ndo wenyewe; sijui ulijuaje! Kuhusu kuwahi, ondoa shaka, kwanza n'shawaambia home basi wasihangaike kuandaa x-mass...sana sana hela tuliyotaka kuandalia x-mas tutatumia kukodi Hiace ya kujia huko, tupo mimi, baba na mama na wadogo zangu watano tu...kumbe hata kumi hatujafika!
 

Kuna hicho ki-hiace hapo nje kinapiga honi kiko nyomi nahisi ndio nyie.
Kijasho cha pua kinanitoka sijui kwanini,anyway ngojea nikawafungulieni mlango.
Naona maza anafunga vizuri kilemba chake kwa mbali mdingi anarekebisha tai yake.
 
Wanajishaua tu ukoo wa wabeba sembe huo...si wanashinda catalunya mwenge kwa mjomba yao mbeba sembe maarufu...yetu machoo
Aisee hawa jamaa hawakauki katalunya hasa Mike yan mda wowote ukienda lazma umkute,hua najiulizaga wanakulaga chakula cha wake zao sa ngap?
 
Kuna hicho ki-hiace hapo nje kinapiga honi kiko nyomi nahisi ndio nyie. Kijasho cha pua kinanitoka sijui kwanini,anyway ngojea nikawafungulieni mlango. Naona maza anafunga vizuri kilemba chake kwa mbali mdingi anarekebisha tai yake.
mnh! naona unavyojishaua hapa...kuckia hiace tu, unaingia mitini 'afu unajifanya ulikuja kutufungulia mlango!! Ulifungua mlango wa mbele ili utoke nje na kutukaribisha au wa chumbani ili utokomee?! Au ndo kisasi kv ckukukaribisha Eid? Anyway, xmass ilikuwa poa lakini?
 
Wasanii wa Bongo wanahitaji shule kuhusu kuigiza na si vingine.

Ata wakija Ma-dairekta toka Hollywood, tatizo litakua lilelile.
 
heeeeee ukiwa muongo uwe na kumbukumbu we si ulisema una masters english course ya nini tena
 
heeeeee ukiwa muongo uwe na kumbukumbu we si ulisema una masters english course ya nini tena
 

Congratulations
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…