dennoo_appliances
Senior Member
- Nov 28, 2018
- 136
- 192
Naam,target mpka ndani hospitali ya wilaya Usangi.Ivi inafika usangi??? Mara ya mwisho 2015 nilipanda ilikuwa imefika mbele ya kikweni kuelekea Shighatini......mitaa yangu Sana from 99-2005.....
Makanya Ni barabarani.....Same to Dar highway.....
Hio lami wamejenga wananchi au serikali?.Big up watani
kilimanjaro Ni maendeleo tu,lami zimekatisha hadi vijijn hivi vitu ni nadra Sana kuvikuta sehemu zingine
nizakale
jaap unaona vijiji vya upare?
Hapo ni local road sio highway
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio lami wamejenga wananchi au serikali?.
Pongezi za shingoupande Sema ukweli, awamu zilizopita zilipendelea upande Fulani wa Kilimanjaro.Big up watani
kilimanjaro Ni maendeleo tu,lami zimekatisha hadi vijijn hivi vitu ni nadra Sana kuvikuta sehemu zingine
nizakale
jaap unaona vijiji vya upare?
Hapo ni local road sio highway
Sent using Jamii Forums mobile app
Upareni nimezunguka sana ingawa sio mwenyeji wa huko , specify hiyo ni wapi, gonja ? Chome ? Mtii ? Nk nk