Waasi wa M23 Wateka Bukavu, Jiji la Pili kwa ukubwa Mashariki mwa DRC

Waasi wa M23 Wateka Bukavu, Jiji la Pili kwa ukubwa Mashariki mwa DRC

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki.

Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa waasi hao waliingia katika mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini Ijumaa jioni na wataendelea na harakati zao Jumamosi ya leo.

Soma Pia: Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 wa ambao wanaungwa mkono na Rwanda wanaripotiwa kuuteka uwanja wa ndege wa kimkakati wa Kavumba karibu na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini.
 
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki.

Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa waasi hao waliingia katika mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini Ijumaa jioni na wataendelea na harakati zao Jumamosi ya leo.

Soma Pia: Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 wa ambao wanaungwa mkono na Rwanda wanaripotiwa kuuteka uwanja wa ndege wa kimkakati wa Kavumba karibu na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini.
Hizi habari mbona sizielewi mimi nazielewa za kimasihara na komasava
 
Ogopa matapeli Bukavu ipo kwenye mikono salama.wale wanyarwanda wamekimbia, wamerudi nyumba baada ya vikosi vya Congo vikisaidiwa na South africa kufanya mashambuliz makubwa
 
Ni kweli mchezo umeisha,check raia wamefurahi mno. Wanajeshi wa Burundi wakimbilia kwao.
 

Attachments

  • _1l1BqZo1poETYAR.mp4
    487.9 KB
  • 5EACaNbItbvsgktm.mp4
    2.3 MB
  • ssstwitter.com_1739694983825.mp4
    5.5 MB
  • ssstwitter.com_1739692139918.mp4
    496.9 KB
  • ssstwitter.com_1739690337574.mp4
    672.3 KB
DRC is a failed state
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki.

Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa waasi hao waliingia katika mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini Ijumaa jioni na wataendelea na harakati zao Jumamosi ya leo.

Soma Pia: Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 wa ambao wanaungwa mkono na Rwanda wanaripotiwa kuuteka uwanja wa ndege wa kimkakati wa Kavumba karibu na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini.
Waasi wa M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameingia Bukavu, mji wa pili kwa ukubwa katika eneo hilo la mashariki.

Corneille Nangaa, kiongozi wa Muungano unaojumuisha waasi wa M23, ameliambia shirika la habari la Reuters kuwa waasi hao waliingia katika mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini Ijumaa jioni na wataendelea na harakati zao Jumamosi ya leo.

Soma Pia: Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu

Waasi wa M23 wa ambao wanaungwa mkono na Rwanda wanaripotiwa kuuteka uwanja wa ndege wa kimkakati wa Kavumba karibu na Bukavu, mji mkuu wa jimbo la Kivu Kusini.
 
Mji wa bukavu uko mikinoni mwa M23 kwa sasa,raia wanasema walikuwa wameteseka sana kwa myaka mingi,wakiteswa na Jeshi la Congo na vikundi vingine.
 

Attachments

  • 5EACaNbItbvsgktm.mp4
    2.3 MB
  • _1l1BqZo1poETYAR.mp4
    487.9 KB
  • ssstwitter.com_1739690337574.mp4
    672.3 KB
  • ssstwitter.com_1739692139918.mp4
    496.9 KB
  • ssstwitter.com_1739694983825.mp4
    5.5 MB
  • 20250215_172616.jpg
    20250215_172616.jpg
    45.6 KB · Views: 4
  • ssstwitter.com_1739692397672.mp4
    279.5 KB
Mji wa bukavu uko mikinoni mwa M23 kwa sasa,raia wanasema walikuwa wameteseka sana kwa myaka mingi,wakiteswa na Jeshi la Congo na vikundi vingine.
Waasi wa M23 sasa wanapaswa watangaze kuundwa kwa nchi mpya ya Jamhuri ya Watu wa Kivu ili sasa waanze kutoa huduma za kijamii kwenye maeneo wanayotawala.
 
kuivamia Burundi ni kosa , wanaweza sababisha vita ya kikanda maana hata Tz lzm tuingie mzigoni mazima

Hiyo vita inahitaji adabu kuingilia, ukienda hovyo unaletewa vita nyumbani kwako, PK na M7 wanajua agenda yao.

Tulinde mipaka yetu tukiguswa Kila mahala ndio tujibu kwa kishindo, hawa wahuni wako na program zao lazima ujiasses kabla ya kuchagua upande na Intel yako iwe ya uhakika kujua ground ikoje.
 
BAHIMA EMPIRE iliyokiwa imenenwa na wahenga wa KI TUTSI is real. Wamejitwalia li Failed state la Bure ambalo wanaume wa nchi hiyo badala ya kilinda nchi Yao wanajipaka mikorogo na kujiremba kama wanawake na kukata viuno kwenye ma night clubs Tanzania na Ufaransa. Watakwenda wapi baada ya hapo ? CAVIENT EMPTOR
 
Back
Top Bottom