Finally: Ndugu Pharell Williams Amekaoa kale Kabinti

Finally: Ndugu Pharell Williams Amekaoa kale Kabinti

7-helen-lasichanh-40953.jpg


wpid-Helen-Lasichanh1-500x261.jpg


ifwt_pharrell-finance5.jpg


williams-lasichanh-2013-mtv-video-music-awards-01.jpg


spl390841_003.jpg
 
Ni Mwanamuziki na Producer wa Miziki duniani ambayo mingi tu imeshika Namba moja duniani. Ni Muimbajin na Mwana mitindo pia na ana nguo zake za ajabu ajabu ila zinauzwa bei chafu sana na si kwa watu masikini. Pia ni member wa Band ya NEPTUNE

Ndiye ali-produce kibao cha Snoop Dogg featuring Justin Timberlake - SIGN.

Kwa sasa ameshiriki kwenye wimbowa Daft Pank - Get Lucky ambao uko juu sana nchi nyingi na wimbo ambao kwa kweli umeshika namba moja nchi nyingi ambao ameshiriki kuandika na kuimba akiwa na Robin Thicke na ndiye Producer, unaitwa Blurred Lines ambao kwa sasa kwenye Youtube (VEVO) unakaribia kugonga 200 millions watch!!!



Mandela alivyomuona alicheka na kusema "He is so Small....." Ila ni marafiki sana nafikiri hadi leo

Crazy Version ya huo wimbo, hapa Robin Thicke akiwa na The Roots: Jimmy Fallon, Robin Thicke & The Roots Sing "Blurred Lines" (w/ Classroom Instruments) - YouTube


Mkuu asante kwa ufafanuzi mimi nili assume kila mtu anamjua jamaa vizuri. Ila wewe jamaa unamjua vizuri sana. Jamaa ni some type of musical genius. Na hako kadada ni moto sana. Nna wa-admire
 
Last edited by a moderator:
Binti alijua kama anaanguka, sehemu IMARA ya kushika ili usianguke ni hiyoooo.... Sijui kwa nini alifikiria ashike hapo.

7-helen-lasichanh-40953.jpg


Akina dada na hasa hawa wa MMU, mnaona faida ya kuvaa Makufuli? Mjitahidi walau kawepo ka C-String kama G-String pia hamzitaki.
 
Mmmh bora mtoto anapossibility ya kutozaa andunje
 
Back
Top Bottom