Finally,nimeamua kufunguka....

Finally,nimeamua kufunguka....

Hahahah yaani mimi nikufuatefuate wewe, unatoa jasho la dhahabu??
Nina wasiwasi sana na serikali ya kichwa chako, jambo dogo unalizua na kuwa kubwaaaa.
We mwenyewe ndio uliweka bandiko la kutafuta MUME, unaulizwa kama umepata unajifanya kucharuka...eboh!!!
Sasa sijui nani mwenye matatizo ya medula oblongata, maana hata post yako ya kwanza tu kwenye hii thread inadhihirisha utashi wako upo taabani kiasi gani.
Usiwe una-panic hovyo maana kwa tabia hii aliyekupata ana hasara kuliko hata walioangusha ghorofa la NHC...

Mpwa Nicas Mtei, mtani snowhite hivi wenzangu huwa mnamuelewa huyu mtu, leo hii anajifanya kusahau kwamba alikua anatafuta bwana hapa jamvini...khaaaa!!!

NB:
Haya we bi dada aliyeandika hili bandiko kwenye kiunganishi ni nani kama si wewe??
Nimeshindwa na huu ubachelor

hivi kwanini uko hivyo nimekukosea nini mpaka unanichunguza utafikiri wewe TAKUKURU naomba tuheshimiane kabisa sipendi ugomvi na mtu mie, mm ni mke wa mtu, pls heshima ni kitu cha bure mtu akikuheshimu nawe mheshimu naona unavuka mipaka, niweke bango kwani natangaza biashara hapa au nimekufa ndo unishupalie bango bango bango bangooooo naomba UNIHESHIMU LASIVYO UTAKIONA CHA MTEMA KUNI WEWE
 
Last edited by a moderator:
Hahahah yaani mimi nikufuatefuate wewe, unatoa jasho la dhahabu??
Nina wasiwasi sana na serikali ya kichwa chako, jambo dogo unalizua na kuwa kubwaaaa.
We mwenyewe ndio uliweka bandiko la kutafuta MUME, unaulizwa kama umepata unajifanya kucharuka...eboh!!!
Sasa sijui nani mwenye matatizo ya medula oblongata, maana hata post yako ya kwanza tu kwenye hii thread inadhihirisha utashi wako upo taabani kiasi gani.
Usiwe una-panic hovyo maana kwa tabia hii aliyekupata ana hasara kuliko hata walioangusha ghorofa la NHC...

Mpwa Nicas Mtei, mtani snowhite hivi wenzangu huwa mnamuelewa huyu mtu, leo hii anajifanya kusahau kwamba alikua anatafuta bwana hapa jamvini...khaaaa!!!

NB:
Haya we bi dada aliyeandika hili bandiko kwenye kiunganishi ni nani kama si wewe??
Nimeshindwa na huu ubachelor

mtani hapa umekasirika kweli!
i can tell!
mi nakujua mtani wangu!hapa sio ile mineno yetu ya kila siku!ur really angry here!
TOKA ZAMANI SANA NILIKWAMBIA POTEZEA bana!ryt!si wajua ninavokulove,usikasirike hv bana!too bad for yu!too bad!sawa?
 
Sawa mtani wangu nimekuelewa, ila sipendi mtu ndumilakuwili...
Unamuuliza in a friendly way kwa kuwa unajua ni rafiki na unamjali...
Halafu anawehuka kama mgonjwa aliyetoroka Mirembe mwenye kimuhemuhe cha kukoswakoswa kugongwa na gari la taka...
Naona watu wengine hawana shukrani kabisa kama makalio vile, ambayo kutwa tunayasafisha lakini hayaachi kunuka...
Ngoja nipotezee tu na nifunge dikshenari yangu ya vitenzi vikurupushi...

mtani hapa umekasirika kweli!
i can tell!
mi nakujua mtani wangu!hapa sio ile mineno yetu ya kila siku!ur really angry here!
TOKA ZAMANI SANA NILIKWAMBIA POTEZEA bana!ryt!si wajua ninavokulove,usikasirike hv bana!too bad for yu!too bad!sawa?
 
Sawa mtani wangu nimekuelewa, ila sipendi mtu ndumilakuwili...
Unamuuliza in a friendly way kwa kuwa unajua ni rafiki na unamjali...
Halafu anawehuka kama mgonjwa aliyetoroka Mirembe mwenye kimuhemuhe cha kukoswakoswa kugongwa na gari la taka...
Naona watu wengine hawana shukrani kabisa kama makalio vile, ambayo kutwa tunayasafisha lakini hayaachi kunuka...
Ngoja nipotezee tu na nifunge dikshenari yangu ya vitenzi vikurupushi...
baaaasi usimalizie kusema,baaaasi usimalizie kusema!
lol!:yo:
:yo:
 
Hivi snochet alipata? kama hujapata nirushie PM basi. :-*
 
Last edited by a moderator:
Saasaaaaa!!!! snochet..............vipi bana, mbona unaweaka masharti kabla ya kumpata.
Ulitakiwa uwasiliane na sisi kaka zako kwanza tukushauri.....!!



Unataka yeye aongee na wewe deile, au wewe uongee nae deile?
Unataka yeye akae karibu na wewe au wewe ukae karibu na yeye? Na kwa nini......ili uwee kwenda kula dudu kirahisi rahisi bila kuingia gharama kubwa au?

CC: AshaDii
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] mwache mwenzakooo
 
Back
Top Bottom