Finally,nimeamua kufunguka....


Umesema yote Roulette, @snochet ni kijana mwema sana, simfahamu personally lakini nafahamiana naye sana JF, namwona ni kama mwanafamilia wangu na namkubali sana kwa uwazi wake na misimamo ya "mlengo wa kati!" Namwombea kila la heri katika kutafuta mwenza, Kwa vile ni kijana mcha Mungu pia namwombea kwa Mungu amwongoze katika barabara itayomuunganisha na wake wa ukweli asije akatumbukia kwenye mdomo wa mamba. Tafadhali wadada, kama unajijua hauna vigezo kaa mbali na ndugu yangu, haitapendeza umpotezee muda snochet kisa unatafuta unafuu wa maisha na vijisenti vya vocha!
 
Last edited by a moderator:
Ulikuwa hujui kuwa huyu ndiye mume wa zamani sasa ni vyema hujue hivyo kwani nina miaka kama2 niko naye wewe unataka nini jamani mbona unanifuatilia kiasi hicho wewe
Ushampata uliyekuwa wamtafuta...hongera!!!
 
utacheka sana mpaka mbavu zitatoka puani kkwani sisi wadada waj jf tuko hivyo unavyodhani hebu tucheki hapa katika pozi huyu ni my cousin charminglady, huyu ni gfsonwin ni Paloma katika mahanjumatu home ndo mwenyewe ladyfurahia ni Mamndenyi alivyokuwa mdogo hapo, huyu ni snowhite alivyokuwa chuoni magharibi, huyu ni Zion Daughter, sasa unavyosema sisi ni mijimama kwanini hunatuzeesha kiasi hicho yani ningekuwa karibu nawewe ningekutandika mikwaju kumi ili ujifunze adabu na ikushike kitotot cha juzijuzi unatutukana ovyo humu mjengoni tusingekufyatua hapa duniani wewe ungekuwepo Boflo ? si tungekuacha hukohuko waliko wengine kwannini umekosa adabu kiasi hicho na umepungukiwa na kinga za kutokuwa na adabu kiasi hicho wewe, unataka tumwambie Mungu tukufanye nini sisi humu ndani, unajua hautakaa utatembea kwa kiuno wewe, Mshukuru Mungu sisi ni wana wa Mungu tusingekuwa hivyo ungeenda kwa ulimi bila kutumia miguu wewe
mechakaje comment yako na ladyfurahia
ha eti mie lijimama Boflo koma kunikomaza mi toto dogo hata ziwa halijaanguka sikumbuki mara ya mwisho kuvaa bra
Boflo we toa siri tu mbona sis hatujatoa zako??
 
Last edited by a moderator:

enzi zangu nilikuwa mbebs bana!ahsante sana mamii kwa kunikumbusha back in those days!
:yo:we mtabiri i see!siku moja ntakwambia kwanini?
 
nitashukuru ukiniambia kwa kuniPM best nasubiri tu hiyo siku moja
enzi zangu nilikuwa mbebs bana!ahsante sana mamii kwa kunikumbusha back in those days!
:yo:we mtabiri i see!siku moja ntakwambia kwanini?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
eeeenh.kwani badi hajapata tuuuu?!?!?
mchana mwema wajameni... Mentor nakuja hapo opposite kwenu kupata menyu ya lanchi njema.........karibu!!!
 
Last edited by a moderator:

nataka zeeeezeeee......
 
Snochet mdogo wangu nilichelewa kupitia hapa...

kama ni mahakamani ningesimama na kuapa kuwa yote usemayo ni kweli. namsubiri kwa hamu huyo shemeji yetu nimpeleke akale mbuzi kidogo.

By the way thanks kwa ule msaada wa juzi japo sikukupigia simu nilipofika. mambo ilibanana na jamaa ma manispaa wakanipiga faini asee
 
Nikufuatilie kwani wewe tamthiliya...
Nimekuuliza hivyo kwa kuwa uliweka bandiko kama hili la kutafuta mwandani wa mtima wako, sasa sijui povu lakutokea nini na nimekuuliza kistaarabu!!

Ulikuwa hujui kuwa huyu ndiye mume wa zamani sasa ni vyema hujue hivyo kwani nina miaka kama2 niko naye wewe unataka nini jamani mbona unanifuatilia kiasi hicho wewe
 
sijui kama Mentor kawaona warembo hawa jamani sijui mmh!
enzi zangu nilikuwa mbebs bana!ahsante sana mamii kwa kunikumbusha back in those days!
:yo:we mtabiri i see!siku moja ntakwambia kwanini?
 
Last edited by a moderator:
mm naona wewe una matatizo ya kiakili labda niwaite wataalamu wakupe somo ndiopo utatulia kunifuatafuata sijui unanitakia nini mtoto wa watu, mm sipendi ughomvi kabisa nanyi lakini unanichunguza utafikiri wewe TAKUKURU bana niweke bango kwani mm nimekufa au ninatangaza biashara humu ndani acha na koma kunifuatilia sipendi kabisa
Nikufuatilie kwani wewe tamthiliya...
Nimekuuliza hivyo kwa kuwa uliweka bandiko kama hili la kutafuta mwandani wa mtima wako, sasa sijui povu lakutokea nini na nimekuuliza kistaarabu!!
 
hivi kwanini uko hivyo nimekukosea nini mpaka unanichunguza utafikiri wewe TAKUKURU naomba tuheshimiane kabisa sipendi ugomvi na mtu mie, mm ni mke wa mtu, pls heshima ni kitu cha bure mtu akikuheshimu nawe mheshimu naona unavuka mipaka, niweke bango kwani natangaza biashara hapa au nimekufa ndo unishupalie bango bango bango bangooooo naomba UNIHESHIMU LASIVYO UTAKIONA CHA MTEMA KUNI WEWE
Nikufuatilie kwani wewe tamthiliya...
Nimekuuliza hivyo kwa kuwa uliweka bandiko kama hili la kutafuta mwandani wa mtima wako, sasa sijui povu lakutokea nini na nimekuuliza kistaarabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…