Finally Ommy dimpoz amerudi tena kwenye Game ya muziki

Nimebahatika kumsikliza Ommy Dimpoz akitoa ushuhuda wa alichopitia kipindi chote akiwa kwenye matibabu, hatimaye ameamua kutoa bonge la Gospel.
 
Nimebahatika kumsikliza Ommy Dimpoz akitoa ushuhuda wa alichopitia kipindi chote akiwa kwenye matibabu, hatimaye ameamua kutoa bonge la Gospel.
Nadhani na huenda akaokoka muda si mrefu.
 
Nimemsikiliza sana Ommy Dimpoz, kupitia wimbo wake lakini kupitia interview kupitia youtube channel yake. Kuna kitu Mungu amekipanda ndani yake. Ile kukumbuka kwamba Mungu ndiye mponyaji ni fimbo kubwa sana kwa shetani.
Lakini pia nimeona Imani aliyonayo kwa Muumba wake pale alipoambiwa anapokunywa hata maji akumbuke kuyaombea na kesho yake akaipata sauti.

Binafsi namtukuza Mungu kwa uponyaji wa Ommy Dimpoz.
 
mkuu ugonjwa si kwa mtenda dhambi tu hujawahi kuona mtu mcha Mungu anapata ugonjwa unamtasa sana?
 
ngoma kali sanaa!ndivyo inavyotakiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi Leo ndo nmemdharau kabisa Yule mtu mfupi(Steve Nyerere)aliongea upupu wakati dogo yuko hoi kitandan. Leo anabadili gia angani.nadhani ruge alinena ukweli kbs kwamba baada ya Mungu kingine unachopaswa kukiogopa Karne hii ni technolojia
 
mkuu ugonjwa si kwa mtenda dhambi tu hujawahi kuona mtu mcha Mungu anapata ugonjwa unamtasa sana?
Sikatai, ila sasa hivi vijana tumezidi laiti kama mungu asingetoa kauli ya kutoipiga dunia kama alivyoifanya enzi za nuhu wallah angefanya.
 
Mi nahisi busara zaidi angeacha huo mziki kabisa..akamrudia mola ake mlezi..atubie na awe mcha Mungu maana mitihani aliyopitia ni wake up call kbs...lkn kesho kutwa atasahau na anasa kama kawaida. Mungu amuongoze lkn!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…