Finally Sasa nimeamua Kuoa

Finally Sasa nimeamua Kuoa

Me370

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2008
Posts
985
Reaction score
293
Haya mabinti wenye sifa zifuatazo mjitokeze Mume nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.


  1. Awe Mzuri Kupindukia
  2. Awe na Degree
  3. Awe Bikra (Nataka nijizindulie)
  4. Awe na Heshma Teleeeeee
  5. Awe na Aibu (muhimu)
  6. Awe na kazi Nzuri (Sitaki tegemezi)
  7. Ajue Kunipenda mimi TU.
  8. Asiwe mmbea au mtu wa majungu
  9. Awe Mvumilivu sanaaaa
  10. Asiwe na Tamaa
  11. Ajue Kupika vizuri
  12. Awe msafi sanaa
  13. Usafiri wake pia muhimu
  14. Ajue majukumu yake kama Mke kabla sijamuoa.
  15. Awe mtulivu mno.
  16. Asinywe pombe
  17. asiwe anavuta sigara.
  18. Awe tayari kupima HIV
  19. Awe mcheshi
  20. Atoke familia Bora yenye malezi mazuri
  21. Awe mpole kupita kiasi
  22. Apende mazoezi mara kwa mara
  23. Awe tayari kubadili dini
  24. Ajue kuvaa na kupendeza sana
  25. Awe anajua Kumuheshimu mume.
  26. Lazma awe maji ya Kunde sitaki mweupe au mweusi
  27. Ajue ku kiss vizuri (Sitokuwa na muda wa kufundisha)
  28. Kila kitu chake kiwe Natural kabisaaa (sitaki mikorogo au Nywele za kubandika)
  29. Awe Mcha-Mungu
  30. Kunako 6X6 awe mwepesi kujifunza Mautundu.


Warembo wanaojiona wana sifa zooote hapo juu wani PM.
Kama umepungua sifa hata moja Usisumbuke kuni PM maana maombi yako hayatakubaliwa nipo Strict sana.
 
Hizo mbili na tatu kamwe haziendi pamoja, hata hivyo ukitaka WA hivyo zaa Wako au.....
 
awe tayari kubadili dini? Unajuaje kama atakuwa tofauti na yako? Au mradi tu abadili dini?
 
Na wewe uweke viambatanisho vifuatavyo
1.Account yako inasoma bei gani?
2.Unamiliki Nyumba ngapi na mitaa gani hapa town?
3.Orodhesha vitega uchumi vyako
4.Pato lako kwa mwezi ni millioni ngapi
5.Unamiliki magari mangapi na sio hivyo tu ni ya aina gani na rangi gani?
6.Mwisho kabisa bandika cheti chako cha angaza(immuno status) hapa
Alamsiki

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nyie ndio mnatoaga bikra za kichina mnajigamba, bikra kwa nyakati hizi sio ishu
 
1. Uwe na dushelele ya nch 18
2. Kama haifiki nakusaga
3.kwa Siku vitano ukipunguza nakutia vidole
 
Duh kumbe sifa zote nzuri za mwanamke unazijua na unazingatia sasa kwa nini usitengeze mdoli wa kike wenye sifa hizo......hakuna mwanamke mwenye sifa zote hizo....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Me mwenyewe nimeamua kuolewa na mwanaume mwenye sifa zote hapo juu aliyekidhi tuonane posta mpya asubuhi ya kesho tukijaliwa.ila hasiwe na sifa no 21
 
Back
Top Bottom