Katika pitapita zangu za kutafuta hapa na pale nilikutana na ushauri kwamba kama unataka kuwa muwekezaji mzuri hata kama unafuga njiwa au unamiliki 5 star hotel unashauriwa kuwa na professional financial security adviser.
Kwa watu wenye ufahamu na haya mambo please naomba ushauri wenu, nitampataje huyo mtu kwa hapa DSM.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.
Kwa watu wenye ufahamu na haya mambo please naomba ushauri wenu, nitampataje huyo mtu kwa hapa DSM.
Natanguliza shukurani zangu kwenu.