financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Nilikua busy naisend off Corona,kumbe kuna uzi huku😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, vijana msiimagine vitu vikubwa sana kwa mtu ambaye humfahamu ili kujiepusha na disappointments ,japo naamini kuna wazuri kweli ila mimi mmh.imagination inawatesa vijana wa jf, huku madem wengi wabovu ndo maana ukiwa pm kuomba photo wanazingua isipokua wachache
Aisee ungenifahamu, sijui ingekuaje ila hiyo ni avatar tu mkuuNaonaga avatar ake2 Bablide
Usije mkuu, utakua disappointed sanaNashukuru umekuja aseee vp PM naeza timba au kunae mamlaka ya kuzidi mamiloox?
Hapana mkuuUsinifanyie ivo bac,,Siwez kuwa disappointed bhana,,nimeyataka mwenyewe
Bila shaka yamesha wahi kukukuta mkuu au vipi?Hahaha, angalia usipende avatar feki mzee dingii, unaweza siku ukakutana nae ukakuta kitu tofauti sana
Amedata na AVATAR!!!!! I Jus Jus an Avatar now I got A Blue Blue!!Mkuu huyo manzi umeshawahi kumuona? Au ndio unapenda comments 😄😄
Komaa chali angu naona machalii wanakuwa kama wanakutisha vile ila mimi nakusapoti chali angu komaa na huyo mamsi ni msupuu sana si unajua wajuba tunaishi kwa hisia.Usinifanyie ivo bac,,Siwez kuwa disappointed bhana,,nimeyataka mwenyewe
Huyo hapo wa juu ni wa chuga wa dar nao sasa [emoji116]
WANAUME WA DAR : piga kelele kwa mwanga akeee...weuweee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu heshima yakoHapana mkuu