Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
wadau nataka kwenda kukopa kwa hawa jamaa naomba anaowajua anijuze kuhusu riba zao, wanatoa maximum kiasi gani. pia kama wanakopesha mtu anaetaka kulima, nina kiwanja chenye hati na kipato cha 900,000 kwa mwezi ila sijaajiriwa. ntaweza kurudisha 600,000 kwa mwezi.