Ndugu kizungu unakijua lakini?
NN kasema kadate na wanawake aina zote sijui umeelewa.
Halafu sidhani kama kalalamika.
Nyani ngabu please take me to a "fine dining" date
Ngoja nicheke kwanza, kila nkikumbuka mbavu zinavunjika, tukaishia kisutu kwa wahindi kula Zege na sekela.Ishawahi kukutokea hiyo?
Naruhusiwa kuleta fujo na uchokozi hapa...??!!
Kabla sijajibiwa ngoja nijiongelee. Niko hivi, nikiwa natoka mtoko na mkaka ninaye mpenda na niko na mihemko nae yaani huwa sisikii njaa wala sisikii kula. Sana sana ntaishia kunywa maji au ntadoe alichoagiza kidoogo na hapo akinibembeleza sana nile. Laah ntaishia kuagiza chicken wings au chips kavu. Ama naangiza chips kuku ila yule kuku atamla yeye mie ntadonoa chips mbili tatu basi.
Kwanini nafanya hivo, sipangi ila huwa inatokea tuu.... Mahaba yakinizidi njaa siisikii nakuwa nafurahia wakati wa kusikia sauti, kufinywa, kung'atwa, kuchokozana, n.k.
Na ikiwa ni sehemu ya self service, I will serve him halafu mie nakunywa maji tuu, akishiba yeye mie nabeua.., ahahahaha
Hivi kubeua kwa kiingereza ni nini? (I can't ask google pls) najua tangu nakua nimefundishwa kubeua (hasa mbele za watu) ni tabia mbaya. Basi ntabeulia ndani la blouse au chini ya meza ila in silent mode.
Nikiruhusiwa ntasimulia tukio flani hivii....
Kubeua ni burp[ing].
Fujo na uchokozi rukhsa ila vidole masikioni hapana.
KwenyeSasa nitatafunaje mifupa?
Nitakudoweaje sahani yako?
Nitatowezeaje Chumvi?
Kikubwa mimi sishibi nkila na uma, kisu, kijiko sishibi yaani sishibi kabisa.
Ila pia ni kujishtukia tu , mbona Mtambuzi nkimfataga pale kwake ananileteaga maji ya kunawa na tissue, maana ananijua hapo nitasosomola na nitashiba hasa.
du!!!umenichekesha sana!!he He He kula na epron kama mwanangu haki sishibi, kuna ile translation ya kuweka vijiko na uma ukiweka tofauti unashtukia muhudumu amekuja ameondoa kumbe ulikuwa unatafuta pozi unabaki unajiuma jiuma, table manners ni mtihani kwa kweli.
True thatMy concern shouldn't be whether a chick is down for a fine or casual dining, should be whether she is down to .f.
Because of the fancy words they use at those places watanzania wamezoea kachumbari but uko utasikia sijui salad Mara napkin sijui nn eeeeishWhat’s good y’all...
So today I wanna talk about fine dining and casual dining in the context of the Tanzanian dating scene.
I’ve had my fair share of dates. In other words, I’ve been around the block for a good minute [read: I’m no spring chicken].
My experiences extend far beyond the borders of this wonderful country. I’ve dated all types of races, women from all types of socio-economic backgrounds, all types of faiths, educated, the not so educated, sophisticated ones, the not so sophisticated ones, you name it.
One thing I’ve come to notice, though, is that many Tanzanian women, especially the ones who live in Tanzania, are kind of intimidated by fine dining.
Now, what do I mean by that? Well, many a times I’ve tried to take some ladies out for dinner and suggested we go to some fine dining restaurant and my offers haven’t really been alacritously received. I can even go as far as to say most of them seem to be intimidated by the offers.
But suggest you go to some casual dining joint for some kitimoto and they’ll take you up on that offer in a supersonic speed! That just amazes me.
Now look, I’d be the first one to tell you that the food at fine dining restaurants may not always be all it’s cracked up to be. But sometimes people go there more for the cozy ambiance than anything else, especially if they are up for a romantic night or something like that.
So basically I just wanted to get your take on why that is.
Feel free to drop your comments below.
Deuces [emoji1536]
Because of the fancy words they use at those places watanzania wamezoea kachumbari but uko utasikia sijui salad Mara napkin sijui nn eeeeish
kazi boss wangu uma 3,glasi4, zote ujue kazi zake,sasa changamoto ni pale unapotest kitu ambacho hujakipenda unatakiwa uende ukakitoe huko wash room kwa swaga ambazo utamdisturb mtu bila kusahau phone management ,mara umeacha uma na kisu parallel muhudumu anapitia sahani na li T bone stake halijaliwa kwenda kumwagaNgoja tujifunze matumizi ya kisu na uma, matumizi ya starter, main dish na desert, matumiz ya table manners, how to use napkins, alafu tutafaa tu mkuu usiwe na haraka.
Mbavu zangu jamaniiKitu pekee nachopendea na kumiss fine dinning ni ile mara kasoup sijui salad(starter) mara ulichoagiza ukimaliza mara kaice cream tena 3 layers, waoo unakula mara kibao, huku ukiwa unasubiri chakula utaletewa maji au bia, na ukimaliza maji au bia.
At Least na wao wangekuwa wanatuwekea kastarter hata kitunguu tu inatosha.
Aaaaah!hao wasiojua vinega inauua worms kwenye kachumbali ,tunabeba minyoo tu huko uswaziMbona hivyo vyote hata huku uraiani vipo!
Hizo napkin / tishu hata ukinunua maji kwenye vi baa vya Uswazi unapewa.
Kachumbari ndo hiyo salad.
Vitu ni vilevile tu.
Hahahaha uzungu shida bora tuwaachie wenyewekazi boss wangu uma 3,glasi4, zote ujue kazi zake,sasa changamoto ni pale unapotest kitu ambacho hujakipenda unatakiwa uende ukakitoe huko wash room kwa swaga ambazo utamdisturb mtu bila kusahau phone management ,mara umeacha uma na kisu parallel muhudumu anapitia sahani na li T bone stake halijaliwa kwenda kumwaga
Bro by engaging her for a decent and fine dinner as you intended and think that you both walking in a line of decency,for bongo you just fooled your self because what is in there minds is how much money you will give them instead of how that evening is romantic in building up relationship and how much money you will spend in that kind of evening! So much uncivilized and selfish, be on safeside just go for cheap kitimoto and konyagi or couple of beers go get her and give her like 50k that will be great and fine for herWhat’s good y’all...
So today I wanna talk about fine dining and casual dining in the context of the Tanzanian dating scene.
I’ve had my fair share of dates. In other words, I’ve been around the block for a good minute [read: I’m no spring chicken].
My experiences extend far beyond the borders of this wonderful country. I’ve dated all types of races, women from all types of socio-economic backgrounds, all types of faiths, educated, the not so educated, sophisticated ones, the not so sophisticated ones, you name it.
One thing I’ve come to notice, though, is that many Tanzanian women, especially the ones who live in Tanzania, are kind of intimidated by fine dining.
Now, what do I mean by that? Well, many a times I’ve tried to take some ladies out for dinner and suggested we go to some fine dining restaurant and my offers haven’t really been alacritously received. I can even go as far as to say most of them seem to be intimidated by the offers.
But suggest you go to some casual dining joint for some kitimoto and they’ll take you up on that offer in a supersonic speed! That just amazes me.
Now look, I’d be the first one to tell you that the food at fine dining restaurants may not always be all it’s cracked up to be. But sometimes people go there more for the cozy ambiance than anything else, especially if they are up for a romantic night or something like that.
So basically I just wanted to get your take on why that is.
Feel free to drop your comments below.
Deuces [emoji1536]
Shikamoo mnyamwezi...Asante mwalimu, nimeongeza msamiati. Ntauongeza kwenye Lordship hehehehhehee
Hhahahahahhahahahahahhaa nimecheka kwa tabasamu panaa, OK nimetii.
Ila najiuliza tuu hapa ntaweza kweli kutii bila shuruti...... kidole kina kazi nyingi.... kubonyeza, kuchovya, kukoroga, kutambaa / kutambaiza, n.k.Basi hivi nimesema nimetii haya Kasie natii hakuna vidole ahahahahahahhahahhahhaha
Sasa ntandikaje bila vidole eehehehehehehhehehehehehhee
Nifukuze basi maana nafyatu fyatu tuu hapa, ngoja niende zangu kuleee....
Kuna date moja nilienda na mchuchu (hivi hata mwanume ni rukhsa kumuita mchuchu eeehhh..?? ikimaanisha mchumba....!! hehehehehhehee nisije nikafinywa bureee
Basi hiyo date kama kawaida yangu nilikuwa so exited na mchuchu, namtizama tuu sijui kama yeye ananishiba taswira yangu au laah. Akatoa hela ila akomba yeye awe lazy lizard / Lacostee. Nikasema I'll serve you Lordship, ilikuwa sehemu ya self service. Nikamuuliza alichohitaji, ila pesa yake nikamwambia iweke kwanza nikiihitaji ntaichukua. Huyo nikanyanyua fito za kinyamwezi nikamletea. Baada ya muda kwenye maongezi akataja msosi flani hivi (nikiusema hapa mtajua, acha ubaki kwenye mabano) nikaenda muagizia akala kwa raha zake.
Date ikaisha na kung'atana see you next time....
Nafurahia sana kutoka mtoko na mtu niliyemshiba, uso unakuwa mng'ávu hata kama sijapaka mafuta nang'aa tuu na huwa namshiba huyo hivo msosi unakosa mahala pa kukaa.
Ngoja nikaanzishe vurugu kwingine.
K' Matata