Fine dining vs casual dining: Tanzanian chicks

Fine dining vs casual dining: Tanzanian chicks

One of the best moments ever is having fine dinner with a gorgeous girl aliekulia uswahili

halafu sasa awe anajiamini na haoni haibu hata kidogo na unamfeel the way anavyo behave

Yaaan ukute kuna copules nyingiii kwenye table tofauti tofauti halafu halafu izo couples zote ni za kishua kasoro wewe tu umekuja na mtoto wa uswazi...sema mzuuuuri kuliko wote mule ndani halafu kapendeza balaah

Utamu unanoga pale anapoanza kubehave kiswazi katika kila idara...halafu meza zinigne zooote zinawashangaa nyie tu...halafu nyie wala hamna habari na mtu...mara mna smile,mna make jokes,laugh ,kisses na mahaba kama yooote..
 
Sasa nitatafunaje mifupa?

Nitakudoweaje sahani yako?

Nitatowezeaje Chumvi?

Kikubwa mimi sishibi nkila na uma, kisu, kijiko sishibi yaani sishibi kabisa.

Ila pia ni kujishtukia tu , mbona Mtambuzi nkimfataga pale kwake ananileteaga maji ya kunawa na tissue, maana ananijua hapo nitasosomola na nitashiba hasa.
Unaenda fine dining na kula Kwa mikono unakula vizuri tu, hakuna hata atakaekuuliza na kulipa unalipa Kwa viza.
 
Unaenda fine dining na kula Kwa mikono unakula vizuri tu, hakuna hata atakaekuuliza na kulipa unalipa Kwa viza.

Hata mimi mara nyingi huwa nakula kwa mikono tu.

Na usikute hakuna hata anayekutazama.
 
Hata mimi mara nyingi huwa nakula kwa mikono tu.

Na usikute hakuna hata anayekutazama.
Mimi nimeshazoea mpaka nikiwa ughaibuni kabisa natandika Kwa mikono tu, eti kuku Nile Kwa uma, nyama choma, samaki haiwezekani.
Kuna wakati nilivyoanza kula Kwa mikono kuku wangu na wengine wakanawa na kuunga tela.
 
Mimi nimeshazoea mpaka nikiwa ughaibuni kabisa natandika Kwa mikono tu, eti kuku Nile Kwa uma, nyama choma, samaki haiwezekani.
Kuna wakati nilivyoanza kula Kwa mikono kuku wangu na wengine wakanawa na kuunga tela.

Halafu mimi nadhani kuna dhana potofu kwamba huko Uzunguni watu hawali kwa mikono!

Si kweli.

Hivi mfano bbqued babyback ribs mtu utazilaje kwa uma?

Au lemon pepper buffalo wings? Au tacos 🌮?

Utakulaje hivyo vyakula kwa uma?
 
Ngoja nianze majaribio! Nitawapeleka kote fine and casual!! Exposure muhimu sana.
 
What’s good y’all...

So today I wanna talk about fine dining and casual dining in the context of the Tanzanian dating scene.

I’ve had my fair share of dates. In other words, I’ve been around the block for a good minute [read: I’m no spring chicken].

My experiences extend far beyond the borders of this wonderful country. I’ve dated all types of races, women from all types of socio-economic backgrounds, all types of faiths, educated, the not so educated, sophisticated ones, the not so sophisticated ones, you name it.

One thing I’ve come to notice, though, is that many Tanzanian women, especially the ones who live in Tanzania, are kind of intimidated by fine dining.

Now, what do I mean by that? Well, many a times I’ve tried to take some ladies out for dinner and suggested we go to some fine dining restaurant and my offers haven’t really been alacritously received. I can even go as far as to say most of them seem to be intimidated by the offers.

But suggest you go to some casual dining joint for some kitimoto and they’ll take you up on that offer in a supersonic speed! That just amazes me.

Now look, I’d be the first one to tell you that the food at fine dining restaurants may not always be all it’s cracked up to be. But sometimes people go there more for the cozy ambiance than anything else, especially if they are up for a romantic night or something like that.

So basically I just wanted to get your take on why that is.

Feel free to drop your comments below.

Deuces [emoji1536]
Nitoe mm
 
Kwanza vyakula sijui vya fine dining ata hushibi..vichips vidonyoo
 
Au tacos 🌮?

Jabuuu, is it it or that tacos.....!!!???? You get what am asking....!!???

I'd like to test it.... Just thinking...... Is it soft like the way tacos is..... Is it meaty....!!
Aaahahahhahahahahahahhaaaaaa rhomboids weeeh hehehehhehee

Cheers Baby Lacoste.
 
Girl in the jungle getting jiggy...

Hahahahahahahhaaa unaniamsha ujue kwenda kuruka majoka......

Na na na na na na na get jiggy wit ya........ na na na na na na na..... Getting jiggy wit ya



Jaaabuuuuuuu.
 
Hahahahahahahhaaa unaniamsha ujue kwenda kuruka majoka......

Na na na na na na na get jiggy wit ya........ na na na na na na na..... Getting jiggy wit ya



Jaaabuuuuuuu.


Haya nyanyuka ucheze.
 
I think it depends na mtu;i embrace both whenever they happen

Fine Dining can be lonely smtimes depending na venue..ni nzurii bt u need to be really into eachother esp mkileta habari za candles smwhere secluded mnatizamanaa weee mwishowe mnaanza ambiana uongo oh i see you in my eyes..its obvious dude u aint blind!!

Kula kwny normal joints is normal..mnamingle mara mnaangalia watu mara mechi mara mbebishane ts interactive...na story, kuna music inawadistract kidogo etc

Funny huyo alosema abt using cutlery..jmn be urself ...cutlery and dishes arrangement for whoo..i never follow any rules.,hizo royal family watadeal nazo., i js eat any food i love at the venue..maadam nakula kistaarabu tu standard
 
Back
Top Bottom