Awamu ya 5
Member
- Aug 1, 2018
- 5
- 0
Salaam,
Msaada wadau, nimekuta gari yangu imepigwa fine, license number ni mtu nisiyemfahamu, nimejearibu ku-blast hyo licence namba yake kwenye system nimekuta ana makosa mengine namba zetu za magari Zimekaribiana.
Nashawishika kuamini kua askari atakua amekosea. Pia kosa limeandikwa driving a public/commercial vehicle beyond speed limit na gari yangu haijawahi kuwa commercial/public.
Nimeenda kituo cha polisi urafiki hawana majibu, wananitaka nilipe, wakilazimisha kua itakua kuna mtu nimemuazima gari. Na mie sijamuazima mtu gari.
Sehemu lilikofanyika kosa ni milade sijui ht iko wapi
Msaada wadau, nimekuta gari yangu imepigwa fine, license number ni mtu nisiyemfahamu, nimejearibu ku-blast hyo licence namba yake kwenye system nimekuta ana makosa mengine namba zetu za magari Zimekaribiana.
Nashawishika kuamini kua askari atakua amekosea. Pia kosa limeandikwa driving a public/commercial vehicle beyond speed limit na gari yangu haijawahi kuwa commercial/public.
Nimeenda kituo cha polisi urafiki hawana majibu, wananitaka nilipe, wakilazimisha kua itakua kuna mtu nimemuazima gari. Na mie sijamuazima mtu gari.
Sehemu lilikofanyika kosa ni milade sijui ht iko wapi