Kwahiyo Tweet yenye Uhuru press hauiyoni?? Jana kulikuwa na mada juu ya uchumi Kenya kuwavibaya Citizen TV. Ngoja nizame mwenye tweet zao. Sikuzote mnajitetea bila kuleta solution au kusema chanzo cha tatizo. Hizo tweet zote zamkenya mwenzako wewe sijui unaishi Turkana pale Tullow Oilbtw... no mention of Ug or Tz.
Kenya flower firms relocating to Ethiopia, cite better conditions
Kutokana na kudolola kwa uchumi nchini Kenya wawekezaji wamekuwa wakienda kwenye nchi za Uganda na Tanzania kutokana naugumu wamuda mrefu wa uchumi nchini Kenya. Pia hili limeonekana likilalamikiwa na wakenya nakuzua mjadala kwenye vyombo vyahabari nchini. Swali nije tatizo nini? Au ndokusema utawala mbovu?? Kiukweli hii inasikitisha sana kwandugu zetu wakenya.View attachment 533274View attachment 533275
1. It is Hashtag (#) UhuruPresserKwahiyo Tweet yenye Uhuru press hauiyoni?? Jana kulikuwa na mada juu ya uchumi Kenya kuwavibaya Citizen TV. Ngoja nizame mwenye tweet zao. Sikuzote mnajitetea bila kuleta solution au kusema chanzo cha tatizo. Hizo tweet zote zamkenya mwenzako wewe sijui unaishi Turkana pale Tullow Oil
Like realy?Uhuru mwenyewe kashajishtukia ameizika kenya mazima jana kasema anaomba msamaha apewe more five years ataongoza kama Magufuli
Yeah the news captured the entire Kenyan community and mediaLike realy?
Ni ya article ya Feb 2016 which they are talking about 2015alafu ii news ni ya Feb 2016.
jaribu ku keep up-to-date.
Kutokana na kudolola kwa uchumi nchini Kenya wawekezaji wamekuwa wakienda kwenye nchi za Uganda na Tanzania kutokana naugumu wamuda mrefu wa uchumi nchini Kenya. Pia hili limeonekana likilalamikiwa na wakenya nakuzua mjadala kwenye vyombo vyahabari nchini. Swali nije tatizo nini? Au ndokusema utawala mbovu?? Kiukweli hii inasikitisha sana kwandugu zetu wakenya.View attachment 533274View attachment 533275
You mean rocket science.You don't need a rocket brain to notice kenya is in the massive grave jaws now that's reality and everyone knows that