Firms are relocating from Kenya to neighbouring Tanzania, Ethiopia and Uganda

Firms are relocating from Kenya to neighbouring Tanzania, Ethiopia and Uganda

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Kutokana na kudolola kwa uchumi nchini Kenya wawekezaji wamekuwa wakienda kwenye nchi za Uganda na Tanzania kutokana naugumu wamuda mrefu wa uchumi nchini Kenya. Pia hili limeonekana likilalamikiwa na wakenya nakuzua mjadala kwenye vyombo vyahabari nchini. Swali nije tatizo nini? Au ndokusema utawala mbovu?? Kiukweli hii inasikitisha sana kwandugu zetu wakenya.
Screenshot_2017-06-28-17-38-11.png
Screenshot_2017-06-28-22-29-10.png
 
Wenzetu wakenya mbona mambo yanawaendea vibaya. Mimi nachoona niuwongozi mbovu unaochochewa na ukabila. Ukabila mgeuweka pembeni Kenya ingekuwa nchi nzuri sana. Kiukweli huyu shetani ukabila inabidi akemewe na kiongozi ambae ukimuangalia kwa macho tu unaona apendi ukabila.

Ukabila unafanya siasa za Kenya ziendeshe uchumi badala ya uchumi kuendesha siasa. Kwamfano juzi Uhuru alizindua kiwanda hewa cha beer Kisumu akidai kitatengeneza zaidi ya ajila 100,000 hapo Kisumu(EABL) Ukweli nikwamba kiwanda cha EABL walicho nacho kwa sasa hakina ajira zaidi ya 40,000 na week mbili kabla Uhuru kutangaza kiwanda EABL walikua wamesha tangaza kupunguza wafanyakazi.
Lakini tukiachana na hilo chaajabu nikwamba EABL jana walitoa ujumbe mfupi wakidai kuwa swala lakujenga kiwanda Kisumu bado lipo kwenye mazungumzo na inaweza chukua miaka miwili kiwanda kuweza kujengwa.
IMG_20170629_194828.jpg


Kwahili la EABL mnaweza kunielewa napo sema Kenya siasa ndozinaendesha uchumi nabadala ya uchumi kuendesha siasa. Mzizi wake mkuu ukiwa ukabila unaosababisha siasa mbovu zisizo kuwa na minzani.
 
Kusema kweli it will be a mistake if the economy for any reason experience the down turn
 
alafu ii news ni ya Feb 2016.
jaribu ku keep up-to-date.
 
Kutokana na kudolola kwa uchumi nchini Kenya wawekezaji wamekuwa wakienda kwenye nchi za Uganda na Tanzania kutokana naugumu wamuda mrefu wa uchumi nchini Kenya. Pia hili limeonekana likilalamikiwa na wakenya nakuzua mjadala kwenye vyombo vyahabari nchini. Swali nije tatizo nini? Au ndokusema utawala mbovu?? Kiukweli hii inasikitisha sana kwandugu zetu wakenya.View attachment 533274View attachment 533275

Huyo unaye quote ni blogger namba moja wa ODM/Nasa. Huu ni wakati wa campaign.
 
Kwahiyo Tweet yenye Uhuru press hauiyoni?? Jana kulikuwa na mada juu ya uchumi Kenya kuwavibaya Citizen TV. Ngoja nizame mwenye tweet zao. Sikuzote mnajitetea bila kuleta solution au kusema chanzo cha tatizo. Hizo tweet zote zamkenya mwenzako wewe sijui unaishi Turkana pale Tullow Oil
1. It is Hashtag (#) UhuruPresser
2. Uhuru press and [HASHTAG]#UhuruPresser[/HASHTAG] means two totally different things.
3. The Twitter handler @Asamo is a 'nobody'. By that, I mean anaweza hata kuwa mchoma mahindi na hakuna mtu anayemjua behind that Twitter account so hana umaarufu wowote wala ushawishi wowote.
4. There is Freedom of speech in Kenya. Anakubaliwa kikatiba kuongea chochote, popote.
5. Wacha kutumia watu wa Twitter Kenya (KOT) kujaribu kupata habari yoyote ya maana! KOT ukifuatana nao na wewe sio mKenya, utaishia kugeuka kicheko.

Anyway from the hashtag
[HASHTAG]#UhuruPresser[/HASHTAG] , I can tell he is anti-Uhuru.
 
Uhuru mwenyewe kashajishtukia ameizika kenya mazima jana kasema anaomba msamaha apewe more five years ataongoza kama Magufuli
 
You don't need a rocket brain to notice kenya is in the massive grave jaws now that's reality and everyone knows that
 
Kutokana na kudolola kwa uchumi nchini Kenya wawekezaji wamekuwa wakienda kwenye nchi za Uganda na Tanzania kutokana naugumu wamuda mrefu wa uchumi nchini Kenya. Pia hili limeonekana likilalamikiwa na wakenya nakuzua mjadala kwenye vyombo vyahabari nchini. Swali nije tatizo nini? Au ndokusema utawala mbovu?? Kiukweli hii inasikitisha sana kwandugu zetu wakenya.View attachment 533274View attachment 533275


Who is Asamoh?
 
Kenya ilianza kupotea wakati wa yule mzee alieapishwa saa sita usiku.
 
Naona unapoteza muda mwingi kufuata blogs za upinzani Kenya hata taarifa za zamani zinakupa nyege. Sasa na mimi nikianza kushusha hapa bandiko za Watanzania wanaolalamika kwenye nchi yao si utakimbia???

Kwa kuanzia nakupa chache hapa lakini ukiendelea kujitoa ufahamu nitazifuata zote na kuzileta humu
Hii hapa mnaokopa hela SA tayari wanalia hawana hela, hivyo mtafute kwengine za kujengea reli
Tulijiabisha kuipigia magoti A. Kusini itukopeshe kujenga reli ya kasi

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?
 
Back
Top Bottom