REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Usikariri not every word after rocket should be scienceYou mean rocket science.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikariri not every word after rocket should be scienceYou mean rocket science.
Una maoni gani about our new hydropower plant stiglers gorge which will be producing over 2100 khwz starting implementation with our own money very soon?Naona unapoteza muda mwingi kufuata blogs za upinzani Kenya hata taarifa za zamani zinakupa nyege. Sasa na mimi nikianza kushusha hapa bandiko za Watanzania wanaolalamika kwenye nchi yao si utakimbia???
Kwa kuanzia nakupa chache hapa lakini ukiendelea kujitoa ufahamu nitazifuata zote na kuzileta humu
Hii hapa mnaokopa hela SA tayari wanalia hawana hela, hivyo mtafute kwengine za kujengea reli
Tulijiabisha kuipigia magoti A. Kusini itukopeshe kujenga reli ya kasi
Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea
Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?
Una maoni gani about our new hydropower plant stiglers gorge which will be producing over 2100 khwz starting implementation with our own money very soon?
Naona unapoteza muda mwingi kufuata blogs za upinzani Kenya hata taarifa za zamani zinakupa nyege. Sasa na mimi nikianza kushusha hapa bandiko za Watanzania wanaolalamika kwenye nchi yao si utakimbia???
Kwa kuanzia nakupa chache hapa lakini ukiendelea kujitoa ufahamu nitazifuata zote na kuzileta humu
Hii hapa mnaokopa hela SA tayari wanalia hawana hela, hivyo mtafute kwengine za kujengea reli
Tulijiabisha kuipigia magoti A. Kusini itukopeshe kujenga reli ya kasi
Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea
Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?
Ujenzi wa electric train mbona umeshaanza na tayari mafundi wapo site usifikiri ujenzi wa electric train ni kama ujenzi wa chooSina la kusema maana keywords kwenye siku hizi 'very soon', mlituimbisha wimbo wa Bagamoyo port na hiyo 'very soon' yenu hatimaye mkaja kupiga chenga moja ya moto.
Leo hii mnatumabia electric train to Dodoma very soon, ghafla tunaskia mnamfuata Zuma awataftie hela, wakati na yeye amekumbwa na matatizo lukuki. Sasa hizo 'very soon' zenu hadi tuzione, hatuwezi kuwa na maoni.
Check hatua zinazoendelea kwenye ujenzi wetu sio kama ile mitungi yenu train yetu ipo complicated ina very long underground tunnels, kutakua na long train bridges to suit the high speed of the train, kutakua na many pedestrian, cars and animal bridges either under the railways or over so don't take it simpleSina la kusema maana keywords kwenye siku hizi 'very soon', mlituimbisha wimbo wa Bagamoyo port na hiyo 'very soon' yenu hatimaye mkaja kupiga chenga moja ya moto.
Leo hii mnatumabia electric train to Dodoma very soon, ghafla tunaskia mnamfuata Zuma awataftie hela, wakati na yeye amekumbwa na matatizo lukuki. Sasa hizo 'very soon' zenu hadi tuzione, hatuwezi kuwa na maoni.
Hizo ni propaganda za upinzani hamna ukweli wowote. Wapi dhibitisho ya kwamba wawekezaji wanatoka Kenya na kuenda nchi jirani. Ni upuzzy mtupu kuamini maoni potovu ya huyo jamaa ambaye hawa wakenya wenzagu hapa wanasema ati ni "blogger", lakini mimi msimjui.Kaka uko nje ya maada, na mapovu kibao, hayo uliyoyaandika ya kuhusu Tanzania wala hakuna atakaye kupinga, hoja hapa ni hilo la wawekezaji kuanza kuikimbia nchi "yenyu"
Check hatua zinazoendelea kwenye ujenzi wetu sio kama ile mitungi yenu train yetu ipo complicated ina very long underground tunnels, kutakua na long train bridges to suit the high speed of the train, kutakua na many pedestrian, cars and animal bridges either under the railways or over so don't take it simple
Now we have the walker of his talk UsikaririHayo ya usanifu tuliyaskia sana kipindi cha Bagamoyo, tuliambiwa ujenzi wa bandari sio kama kujenga choo hivyo lazima utaratibu fulani ufuatwe, tukakomeshwa na vijimaneno humu, nyuzi za mapicha na video balaa. Hatimaye leo ni mengine.
Haya natumai hamtaishia kutupiga chenga la macho tena.
Naona unapoteza muda mwingi kufuata blogs za upinzani Kenya hata taarifa za zamani zinakupa nyege. Sasa na mimi nikianza kushusha hapa bandiko za Watanzania wanaolalamika kwenye nchi yao si utakimbia???
Kwa kuanzia nakupa chache hapa lakini ukiendelea kujitoa ufahamu nitazifuata zote na kuzileta humu
Hii hapa mnaokopa hela SA tayari wanalia hawana hela, hivyo mtafute kwengine za kujengea reli
Tulijiabisha kuipigia magoti A. Kusini itukopeshe kujenga reli ya kasi
Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea
Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?