Naelewa hilo la siasa za Hizbu ila nilikuwa nawaza tuu (nje ya boksi) kuwa inawezekana wale jamaa zake walimfanyia zengwe, ila wakaficha (kitaalam) ionekane ni wazanzibari wenzake.Urais wa Tanzania 1985 ni siasa za visiwani za Upemba na Uunguja zilimkosesha!
Sijui hiloNaelewa hilo la siasa za Hizbu ila nilikuwa nawaza tuu (nje ya boksi) kuwa inawezekana wale jamaa zake walimfanyia zengwe, ila wakaficha (kitaalam) ionekane ni wazanzibari wenzake.
Tanzania kuuliza kabila la mtu ni kosa la kiahini, "Treason ". Tafadhali sana futa swali lako na uombe msamaha.Ni mwarabu?
La hasha. Mimi sio Mtanzania na sioni kosa la kuuliza asili ya huyo mtu. Lakini wacha yaishe maana Wabantu kama wewe mnapenda siasa sana.Tanzania kuuliza kabila la mtu ni kosa la kiahini, "Treason ". Tafadhali sana futa swali lako na uombe msamaha.
She is half black. Na huyu ni half Arab au full Arab? Ni swali tu? Jibu au unune, chaguo ni lako.First lady wenu ni Mzungu?
Lakini hilo kosa umelifanya katika ardhi ya Tanzania, kwahiyo sheria za Tanzania ndizo zinazotumika kukuadhibu. Tafadhali sana futa swali lako na uombe msamaha haraka sana kabla ya kuchukuliwa atua Kali zaidi, ikiwemo kupigwa "ban" ya mwezi mmoja.La hasha. Mimi sio Mtanzania na sioni kosa la kuuliza asili ya huyo mtu. Lakini wacha yaishe maana Wabantu kama wewe mnapenda siasa sana.
La hasha. Mimi sio Mtanzania na sioni kosa la kuuliza asili ya huyo mtu. Lakini wacha yaishe maana Wabantu kama wewe mnapenda siasa sana.
Na Nimemjibu kuhusu Urais was Tanzania 1985!Kama nimemuelewa vizuri amesemea pia kukosa Ukatibu Mkuu UN Kulitokana na utetezi wa Uchina.
Una ufala kuuliza Kama mwarabu wakati kuna Watanzania wenye asili ya Uarabu wengi tu! Mbona huulizi rangi ya CEO wa Safaricom au wakina Leakey?La hasha. Mimi sio Mtanzania na sioni kosa la kuuliza asili ya huyo mtu. Lakini wacha yaishe maana Wabantu kama wewe mnapenda siasa sana.
haha waswahili mipumbavuuuNi mwarabu?