Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Naelewa hilo la siasa za Hizbu ila nilikuwa nawaza tuu (nje ya boksi) kuwa inawezekana wale jamaa zake walimfanyia zengwe, ila wakaficha (kitaalam) ionekane ni wazanzibari wenzake.Urais wa Tanzania 1985 ni siasa za visiwani za Upemba na Uunguja zilimkosesha!