First and true love never die...! hii ni kweli??

Tasia1 huyo huwezi sema ulimpenda kimapenzi sababu ulijikuta tu unampenda labda kuna kitu kati yenu mchunguze unaweza kuta hata ni ndugu yako...so far mimi niliwahi penda long time ago (first love) ila niligundua he was very wrong for me ila nilikuja msahau na sijawahi mkumbuka kwa kumtamani eti angekuwa hubby.tukija kwako hiyo ni natural love na si mapenzi ya mke ..utaja ona siku zijazo
 
Jamani hakuna kama penzi la kwanza hata waje 100 yule wa kwanza ndio anaekufunza maji usiite mma bwana,hiyo ipo haijalishi mliachana vp,na hukumbuki visa vyake bali unakumbuka alivyo kuingiza kwenye ulimwengu wa Mapenzi kwa mara ya kwanza mpaka sasa ukawa mwalimu....
 
sielewi mnaongelea first true love ya nanihiiiiiiiii.......................au first true love ya kumoyo
 

arabianfacon.pls allow me to differ naamini im not alone in this kiukweli when i started that game sikuwahi sikuona wala kuelewa raha yake sielewi kuwa mwl hakuwa mzuri au shida ilikuwa ni nini na siwezi sema umri coz i was 20 by then ila naweza sema huyu niliyenaye he is the one bana hata ikitokea shida naumia kumoyo kiukweli ila sio zamani sikuwahi jua maumivu ya penzi lol
 
Hamna kupendana sikuhizi,tunahifadhiana na kusaidiana huduma za kimwili tu nani amewaloga nyie kuna mapenzi now days ni kuviziana tu kwenye mioyo.

unanisikitisha jinsi unavyoweza tumia your state of mind kugeneralize. dont use this kind of reasoning(induction) in this, you must be very wrong because umeamua kuishi hivyo so unatakiwa amnin hiyo ni wewe na Mungu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…