First borns Vs Last borns

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Greerings Earthlings,

Nimefanya research ndogo isiyo rasmi nikagundua haya

First borns
*Wachapakazi
*Providers kwa familia (wakifanikiwa)
*Wana exposure kubwa sana kwasababu wanajituma
*Sio ombaomba au wategemezi hata wakiwa na shida
*Wengi huwa na mafanikio makubwa kwenye familia
*Wanauwezo wa kujibana matumizi wasipokuwa nacho

ubaya wao
*wengi wana jeuri na kuona wengine hawajui vitu kama wao
*Wanataka wawe juu kwahyo hufanya kila mbinu wategemewe na familia
*hudharau hata wazazi wakiwazidi mafanikio (esp. wa kiume kumdharau baba)


Last borns
*wana upendo na heshima
*hawadharau hata wakifanikiwa(esp. kwa mama)
*wanapenda kufanikiwa ili wawasaidie wazazi na wakubwa

ubaya wao
*Wavivu sana
*hawajui kujibana matumizi
*wanatabia za kutegemea sana vya ndugu
*wamezoea urahisi wa maisha unawadumaza


Hawa wa kati kati tabia zao Zina range humo kati kati

Prove me wrong
 
First born hasa wa kike hawapendani na mama zao au niseme kwa lugha nyepesi hawana ukaribu na mama zao. Nimeona familia nyingi sanaaa
Kwa familia nilizoziona mimi nimeona tofauti, wa kike wako karibu na mama zao. Nikiwemo, akiwepo rafiki angu kipenzi na kwa baadhi wa ya watu wengine naona/nimeona
 
We kimburu last born hatupo kivivu siku nyengine usirudie kinyeramumo mkubwa we!
Mzee hii sio kwamba hakuna exceptions.
yani ndomaana nikasema wengi wako hivi
inamaana wewe lastborn mchapakazi mko wachache yani minority..

Sichukii yeyote me mwenyewe lastborn na sina hizo sifa ila majority wako ivo
 
Kwa familia nilizoziona mimi nimeona tofauti, wa kike wako karibu na mama zao. Nikiwemo, akiwepo rafiki angu kipenzi na kwa baadhi wa ya watu wengine naona/nimeona
kuna ule ukaribu wa just huyu ni mama lakini sio mabest ki viiile kama mtoto wa pili au watatu au wakiume. Just my opinion per my observation
 
Mzee hii sio kwamba hakuna exceptions.
yani ndomaana nikasema wengi wako hivi
inamaana wewe lastborn mchapakazi mko wachache yani minority..

Sichukii yeyote me mwenyewe lastborn na sina hizo sifa ila majority wako ivo
Mi mwenyewe last born nina ka uvivu kwa kweli ila nina upendo na watu mpka naumwa. Tabu zao natamani nizitatue zote mama yangu sitaki apate tabu.
 
*wengi wana jeuri na kuona wengine hawajui vitu kama wao
*Wanataka wawe juu kwahyo hufanya kila mbinu wategemewe na familia
*hudharau hata wazazi wakiwazidi mafanikio (esp. wa kiume kumdharau baba)
Sina hata kimoja. Tena huyo Mshua ndiyo niko sambamba nae hadi mama anataniaga " wenye baba zenu "
 
We kila Uzi ni mitongozo tu πŸ˜†

Lenie njoo mchukue shindikanaa wako huku
Sasa Kama nakupenda mi nifanyeje na unajua kwako breki hazikabi!! Na vile nionapo jina lako tu basi mapigo ya moyo hukaa umbo la kopa!.. nafasi finyu tu nipatie niwe mwandani wako uione furaha navyokupatia mamii.. huu ndo muda wa kutafuna Mambo maana meno angali yapo kipenzi..πŸ˜‰
 
Sisi second born na middle born wote leo naona tuwe watazamaji kwenye hii league, ngoja last born waje Hapa huu uzi utajaa vilio na uonevu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…