Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
basi wewe ni exception to the ruleSina hata kimoja. Tena huyo Mshua ndiyo niko sambamba nae hadi mama anataniaga " wenye baba zenu "
Mwambie hata akiulizwa binadamu ana miguu mingapi atajibu miwili lakini siku akikutana na mwenye muu mmoja hatamtoa kwenye kundi la binadamuMzee hii sio kwamba hakuna exceptions.
yani ndomaana nikasema wengi wako hivi
inamaana wewe lastborn mchapakazi mko wachache yani minority..
Sichukii yeyote me mwenyewe lastborn na sina hizo sifa ila majority wako ivo
Nimefurahi kukuona ngosha the donSiyo kimburu lakini atukome! Malast born wengine ndiyo tunategemewa na familia nzima na tunachapa kazi kweli kweli. Last born wavivu mai futi [emoji51][emoji51][emoji51]
π π kudate na lastborn Ni sawa nakuuguza mgonjwa.Mwambie hata akiulizwa binadamu ana miguu mingapi atajibu miwili lakini siku akikutana na mwenye muu mmoja hatamtoa kwenye kundi la binadamu
Last born wetu sifa za juu anazo zote
Ila livivu hili Toto khaa!!..ninachompendea hapendi kutegemea Cha mtu .
[emoji28][emoji28] kudate na lastborn Ni sawa nakuuguza mgonjwa.
ππpole Sana mkuu ni muhimu Sana kujuwa unaedate nae first au last ili ukiwa unaona some elements unakuwa hupati shida .Kuna siku niliekuwa nae akaniambia kudate na nyie last born ni shida sana, nilijiskia vibaya kwa kauli yake maana aliitoa tukiwa tumepishana kidogo.
[emoji23][emoji23]pole Sana mkuu ni muhimu Sana kujuwa unaedate nae first au last ili ukiwa unaona some elements unakuwa hupati shida .
[emoji28][emoji28][emoji28]Ila pole Sana umenifurahisha.
Kiume[emoji23][emoji23] wakike au wakiume?
Wachache tu ndo wanauvivu mtu si u first born au u last born!. Mtu ni saikolojia japo natambua hizo nafasi zinaweza kuhamasisha tabia ya mtu lkn si kivilee.. last born tupo vizuri kwanza tunavichwa vizuri I mean smart enough kushinda first born..πMpaka mtakapo rekebisha tabia yenu ya uvivu
πππmsamehe bure .Ahsante ila kauli nyingine sio kabisa nikijitathimini mambo mengi mabaya kuhusu last born sina alafu anasena nyenyenyee.
Kiume