napinga...nilipata 1 ya 8 o level, na div 2 a level na kupata 1st class kali tu chuoni!!!!
But haimanishi ndio ubora! Na ma 1st class yetu na a kumi na ushee ma shuleni, hatuwezi hata kuvumbua kitu na kusema we proud of......!
hizo first class ni za vyuo gani maana kuna vyuo vingi vinasifika kwa kutoa first class tu lkn hamna kitu..navyo kumbuka kuna TO mmoja hvi alidisco coet kozi yake ilikua telecom engineering..kama ni vyuo vyenu vya kata mtapata tu hizo first class
Wamegundua hata ki-Ipod?
Niwewe 2 ndo unawaita Super humans.😎Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
ina kaukweli flani,let take a simple example-someone by the name-m****n c*****e alianza u-to tangu primary 2000,then o-level maua 1-7 ,a-level pugu 1-3 na chuo-udsm 4.8 na bado upo masterz alifanya maajabu ktk course work anamalizia dissertation,hapo naona inawezekana ikawa hvyo lakini si wote.
nilikua sijajua aliyetoa huu uzi kumbe ni mwanamabadiliko
fact:wakuu jaribuni kumfatilia huyu jamaa humu jf utagundua kitu
TO gani ambaye hajapata first class?
Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
to gani ambaye hajapata first class?
mnawajua ma-to wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na mmojawapo ni ZeMarcopolo (jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka mzumbe/kibaha na ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....m1(a 10 olevo,a 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
mie nilipiga one ya 3 advance lkn sijabahatika kupata u -to! Na chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
unakubalina nae hii kauli??
"First class ni za maTO tu wengine hawapati." soma mada vizuri kabla hujachangia
heshima yako mkuuu!!!
hizo first class ni za vyuo gani maana kuna vyuo vingi vinasifika kwa kutoa first class tu lkn hamna kitu..navyo kumbuka kuna TO mmoja hvi alidisco coet kozi yake ilikua telecom engineering..kama ni vyuo vyenu vya kata mtapata tu hizo first class
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
mkuu sio siri umenichekesha sana!!! mara ya kwanza ulisema una phd ya mathematics tena from abroad..then juz kati ukasema uko 4th yr pale coet!!!! leo una uzoefu wa chuo...yap ni kwel...kama mdau mmoja alivyosema hapo juu mkubwa HUJIAMINI!!!! KAKA TUNAHITAJI MAWAZO YAKO SANA LAKIN KWA MAWAZO KAMA HAYA NTAKUA NA WASI WASI SANA NA UWEZO WAKO WA KIMAWAZO...KAJIPANGE.....Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS