King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
ya LEO siyo Ya JANA....
A to Z maumivu yani inachoma inachochoma nimechokwa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ya LEO siyo Ya JANA....
mkuu sio siri umenichekesha sana!!! mara ya kwanza ulisema una phd ya mathematics tena from abroad..then juz kati ukasema uko 4th yr pale coet!!!! leo una uzoefu wa chuo...yap ni kwel...kama mdau mmoja alivyosema hapo juu mkubwa HUJIAMINI!!!! KAKA TUNAHITAJI MAWAZO YAKO SANA LAKIN KWA MAWAZO KAMA HAYA NTAKUA NA WASI WASI SANA NA UWEZO WAKO WA KIMAWAZO...KAJIPANGE.....
AMEKUA TO HAJAWA TO...ANA NINI CHA ZIADA!!! ndio unawajua....je wamefanya nini cha ziada...au kukariri tuuuu!!! kweli hii elimu inapoenda ni pabaya..badala ya watu kujisifia wamegundua vitu vya msingi eti wanajisifia wamepata 1.3 na wengine ma TO!!! HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI!!!!Wataja majina ya nini mkuu? Mie nawajua ma-TO wengi mbona sijawataja ebu futa hilo jina bwana.
AMEKUA TO HAJAWA TO...ANA NINI CHA ZIADA!!! ndio unawajua....je wamefanya nini cha ziada...au kukariri tuuuu!!! kweli hii elimu inapoenda ni pabaya..badala ya watu kujisifia wamegundua vitu vya msingi eti wanajisifia wamepata 1.3 na wengine ma TO!!! HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI!!!!
hizi ni mbwembwe tu fainal mtaaniTO gani ambaye hajapata first class?
Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
HAINA MAANA NA NI UJINGA WEWE KUJUA NNA NGAP YA OLEVO NA ALEVO!!! ni ujinga kubishana kwenye kitu kama hiki!!! we jua ingekua busara kuanza jisifia umegundua gari,kifaa au vifaa flani...na vingine vingi na sio kubishana eti nna div 1 au 2 thn what?? TUNATAKA MCHANGO WAKO KATIKA JAMII NA SIO SIFA ZAKO(ZA KIJNGA) KATIKA JAMII!!!!Ulipata ngapi Olevo na Advance? Ebu tuanzie hapo kwanza hili nijue mlengo wako kwanza!!
Wataja majina ya nini mkuu? Mie nawajua ma-TO wengi mbona sijawataja ebu futa hilo jina bwana.
HAINA MAANA NA NI UJINGA WEWE KUJUA NNA NGAP YA OLEVO NA ALEVO!!! ni ujinga kubishana kwenye kitu kama hiki!!! we jua ingekua busara kuanza jisifia umegundua gari,kifaa au vifaa flani...na vingine vingi na sio kubishana eti nna div 1 au 2 thn what?? TUNATAKA MCHANGO WAKO KATIKA JAMII NA SIO SIFA ZAKO(ZA KIJNGA) KATIKA JAMII!!!!
Unakumbuka ile thread ya swali la Math jamaa alivyo kua anang'ang'a kua hakuna njia ni DE tu, wakati watu tulinuonesha njia clearly lakini akawa anabisha tu. huyu jamaa kichwa yake haiko fresh tunamuita
"ABNORMAL HUMAN"
First class zikiwa nyiiiiiiiingi, zinakuwa hazina ubora na mshawasha tena!