First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

First class chuo ni za ma TO tu-wenye historia

mkuu sio siri umenichekesha sana!!! mara ya kwanza ulisema una phd ya mathematics tena from abroad..then juz kati ukasema uko 4th yr pale coet!!!! leo una uzoefu wa chuo...yap ni kwel...kama mdau mmoja alivyosema hapo juu mkubwa HUJIAMINI!!!! KAKA TUNAHITAJI MAWAZO YAKO SANA LAKIN KWA MAWAZO KAMA HAYA NTAKUA NA WASI WASI SANA NA UWEZO WAKO WA KIMAWAZO...KAJIPANGE.....

Hii Ndio JF,yakuambiwa changanya na za kwako.
 
Wataja majina ya nini mkuu? Mie nawajua ma-TO wengi mbona sijawataja ebu futa hilo jina bwana.
AMEKUA TO HAJAWA TO...ANA NINI CHA ZIADA!!! ndio unawajua....je wamefanya nini cha ziada...au kukariri tuuuu!!! kweli hii elimu inapoenda ni pabaya..badala ya watu kujisifia wamegundua vitu vya msingi eti wanajisifia wamepata 1.3 na wengine ma TO!!! HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI!!!!
 
Historia inaonyesha kwamba watu wanaogundua vitu vingi na wenye mafaniakio makubwa duniani sio bukish kwa hiyo mtoa mada usihitimishe kwa kusema kwamba watu wengine hawawezi kupata hiyo 1 class BILL GATE alidrop akaenda kuanzisha kampuni yake hawa jamaa wanakariri kwa bidiii
 
AMEKUA TO HAJAWA TO...ANA NINI CHA ZIADA!!! ndio unawajua....je wamefanya nini cha ziada...au kukariri tuuuu!!! kweli hii elimu inapoenda ni pabaya..badala ya watu kujisifia wamegundua vitu vya msingi eti wanajisifia wamepata 1.3 na wengine ma TO!!! HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI!!!!

Ulipata ngapi Olevo na Advance? Ebu tuanzie hapo kwanza hili nijue mlengo wako kwanza!!
 
TO gani ambaye hajapata first class?
•Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
•Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
hizi ni mbwembwe tu fainal mtaani
 
Ulipata ngapi Olevo na Advance? Ebu tuanzie hapo kwanza hili nijue mlengo wako kwanza!!
HAINA MAANA NA NI UJINGA WEWE KUJUA NNA NGAP YA OLEVO NA ALEVO!!! ni ujinga kubishana kwenye kitu kama hiki!!! we jua ingekua busara kuanza jisifia umegundua gari,kifaa au vifaa flani...na vingine vingi na sio kubishana eti nna div 1 au 2 thn what?? TUNATAKA MCHANGO WAKO KATIKA JAMII NA SIO SIFA ZAKO(ZA KIJNGA) KATIKA JAMII!!!!
 
First class zikiwa nyiiiiiiiingi, zinakuwa hazina ubora na mshawasha tena!
 
Wataja majina ya nini mkuu? Mie nawajua ma-TO wengi mbona sijawataja ebu futa hilo jina bwana.

sikuona dhambi wala kosa kumtaja mtu kwa mambo kama haya,anyways habari ndo hyo the man is gud bhana na ana deserve hzo sifa .
 
nimegundua waliopata firs class wengi wanamatatizo sana ktk utendaji
 
HAINA MAANA NA NI UJINGA WEWE KUJUA NNA NGAP YA OLEVO NA ALEVO!!! ni ujinga kubishana kwenye kitu kama hiki!!! we jua ingekua busara kuanza jisifia umegundua gari,kifaa au vifaa flani...na vingine vingi na sio kubishana eti nna div 1 au 2 thn what?? TUNATAKA MCHANGO WAKO KATIKA JAMII NA SIO SIFA ZAKO(ZA KIJNGA) KATIKA JAMII!!!!

Pole mkuu kama nimekukumbusha machungu katika harakati za elimu
 
kimaisha mko.wapi na hizo first class zenu? Acheni sifa za ajabu we amini uwezo wako binafsi watu hata hizo hawajapata ila hapa mjini mnawafanyia kazi na kuwalilia wawape kazi
 
si kweli,coz binafs i had been there an has seen it all.its only a year sinc i got my bachelor in one of our unircties.my target from the beginning was to earn first class, but due to some challenges andcircumstances beyond my control during that time i ended up with upper sec class (4.2 overall gpa,and i desrved it).its all about working hard and knowing what you want, stay focused and u will get what you desire.though i had a good academic background since primary school.so guy dont mislead the young ones, just encourage them an provide support whenever necessary.
 
Hajalishi iyo mkuu kwaiyo unataka kuwaambia watu hapa kuwa wote waliopata first class walikuwa na sifa izo sikuungi mkono
 
wakuu sina uzoefu na chuo lakini nimebahatika kuwaona hao maTO wa o level ambao nimekutana nao kibaha lakini form six wametaga hata wengine top 50 hawamo kwa uzoefu mdogo kimasomo yoyote mambo haya ni siraha nidhamu,ucha Mungu,discussion,kujituma,kujiamini na malengo ni vitu baadhi vinavyo weza kufanya mtu afaulu vizuri any where kwa wale waliomaliza kibaha mwaka huu wako wap hakina F pamoja na S aka m**ter jamani waTZ tujitambue hawa ndo jamaa enzi za ukoloni waliamini waingereza kuwa ni miungu na enzi zetu hizi wanaamini waafrika walilaaniwa kweli ndugu yangu mwanamadiliko nakusihi upitie thread ya kiny hapo 'jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka sup, na kutodisco' utajifunza. Nakuombea kwa Mungu uweze kujiamini na kama utasoma Biblia hasa Daniel utaona mambo yanavyofanywa na watu wasiotegemewa. BE BLESSED
 
Hivi nichukue ushauri wa nani nina semister 7 sasa, GPA mbovu laki ni upper second
 
Unakumbuka ile thread ya swali la Math jamaa alivyo kua anang'ang'a kua hakuna njia ni DE tu, wakati watu tulinuonesha njia clearly lakini akawa anabisha tu. huyu jamaa kichwa yake haiko fresh tunamuita
"ABNORMAL HUMAN"

kweli mkuu uyu ni abnormal human ndo mana anawaona wengine ni super humans
 
Back
Top Bottom