First Class

First Class

wale ambao hawakufanikiwa kupata mkopo ama chuo hivyo kushindwa kusonga mbele na elimu ya juu UNAWASHAURI NINI mkuu!!!

Kwa aliekosa mkopo namshauri aappeal kama atakosa ajaribu mwakani kama ataweza kujisomesha this year. Kwa ambae hakupata chuo ni bora ajaribu kuaaplly tena mwakani cause elimu ipo tu miaka nenda rudi.
 
siko bbm...sina mda na digital..ving'amuzi nk...mm bado analogia(old school) dona,mihogo, bada ndo msosi tofauti na kizazi cha facebook wao chocolate, chips,pizza na bagga... tungi kwa sana madem wengiiiiii nguvu hawana...ndo maana yangu

hahahaha hivyo vyote vinafanya baadae wanakuja kujuta.
Hivyo vitu sio muhimu kuendekeza kwani vina madhara sana...bora sie tubaki analog
 
hahahaha hivyo vyote vinafanya baadae wanakuja kujuta.
Hivyo vitu sio muhimu kuendekeza kwani vina madhara sana...bora sie tubaki analog
kama jina lako lilivyo ungeondoa A baada ya M ingekuwa Mshamba....ungetaka swagga ungejiita countryboy au farmboy au oldschool...ni mapendekezo ya kianalogia zaida...mkuu usidhani natukana....
 
kama jina lako lilivyo ungeondoa A baada ya M ingekuwa Mshamba....ungetaka swagga ungejiita countryboy au farmboy au oldschool...ni mapendekezo ya kianalogia zaida...mkuu usidhani natukana....

sawa Mkuu nitafanyia kazi mapendekezo yako.
 
Habari Wadau.

Leo nimekuja kusisitiza jambo moja tu kwa wanachuo nalo ni kusoma kwa bidii na kuweka nia ya kupata first class coz najua ukilenga first class, upper second utaipata kwa bahati mbaya.

Ajira zimekua ngumu sana na ufaulu wako bila kujali chuo wala course ndio vitakavyokupa value na kukubeba kwenye market hivyo basi tumieni muda wenu vizuri ili msije mkajuta baadae. Ukikosa first au upper second kwa kweli unakua kwenye nafasi mbaya sana katika kupata ajira hivyo kazaneni sana wajameni. Kuna kampuni huwezi pata kazi usipokua na japo upper second. Nawaambia ili muwe na taarifa kabisa msije kuteseka baadae kutokana na kugraduate na GPA ndogo so tuliza akili soma sana na kuwa mcha MUNGU akiweka starehe, ulevi na uzinzi mbali na wewe.

Finally, niwatakieni masomo mema first year wote na wanaendelea, someni sana nasisitiza someni hata kama watu watakuona mshamba ila jua unawekeza kwa maisha yako ya baadae. Kumbuka kila mtu ametoka kwao na ukimaliza utarudi kwenu so don't let down your family.
Kwa wenzangu na mimi tuliograduate na tunatafuta kazi tueendeleeni kupambana huku tukiombeana na kutiana moyo na mwisho tutafika katika mafanikio kwa msaada wa MUNGU wetu aliejuu mbinguni.

kwa nchi hili lilivyooza wewe hata kama una gpa kubwa kama hauna connection utasubiri sana mwenzako anaconnection na kagetleman anapeta kiulainiii
 
Tusipange sana kuajiriwa... Cheki upande wa 2 pia, ndio unakuta mtu ana Gpa 4.5 afu hawez kazi kisa alikuwa anakariri ili afauru
 
Tusipange sana kuajiriwa... Cheki upande wa 2 pia, ndio unakuta mtu ana Gpa 4.5 afu hawez kazi kisa alikuwa anakariri ili afauru

hichi ndio kinatakiwa tukifanya watanzania tuache kuwa watafuta ajira tuwe wazalishaji wa ajira
 
Lazima uspecify chuo...haya naenda kutafuta hiyo First Class Madrasa itanipeleka wapi??
 
😉🙂Habari Wadau.

Leo nimekuja kusisitiza jambo moja tu kwa wanachuo nalo ni kusoma kwa bidii na kuweka nia ya kupata first class coz najua ukilenga first class, upper second utaipata kwa bahati mbaya.

Ajira zimekua ngumu sana na ufaulu wako bila kujali chuo wala course ndio vitakavyokupa value na kukubeba kwenye market hivyo basi tumieni muda wenu vizuri ili msije mkajuta baadae. Ukikosa first au upper second kwa kweli unakua kwenye nafasi mbaya sana katika kupata ajira hivyo kazaneni sana wajameni. Kuna kampuni huwezi pata kazi usipokua na japo upper second. Nawaambia ili muwe na taarifa kabisa msije kuteseka baadae kutokana na kugraduate na GPA ndogo so tuliza akili soma sana na kuwa mcha MUNGU akiweka starehe, ulevi na uzinzi mbali na wewe.

Finally, niwatakieni masomo mema first year wote na wanaendelea, someni sana nasisitiza someni hata kama watu watakuona mshamba ila jua unawekeza kwa maisha yako ya baadae. Kumbuka kila mtu ametoka kwao na ukimaliza utarudi kwenu so don't let down your family.
Kwa wenzangu na mimi tuliograduate na tunatafuta kazi tueendeleeni kupambana huku tukiombeana na kutiana moyo na mwisho tutafika katika mafanikio kwa msaada wa MUNGU wetu aliejuu mbinguni.
 
Back
Top Bottom