First date;Naomba ushauri wenu.

Mi nataka hiyo mbinu ya kula papuchi yake huyu manzi

great thinker
Mawaidha mazuri ambayo nataka nikuambie ni kuwa jiepushe na kufanya mapenzi siku ya kwanza ambapo utadeti ama kumtoa out mwanamke. Jikontrol na ujizuie usionyeshe hisia zako za mapenzi hadi wakati mwingine ambapo mtameet. Sababu ya kusema hivi ni rahisi. Mtakuwa mmebadilisha akili yenu kutoka kudeti kikawaida hadi kudeti kunakoonekana serious. Hii itakuwa deti ya hakika ambapo pia yeye atachukulia vivyo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…