mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,336
Nitazingatia mkuuTulia asee, ukionesha mpapariko tu binti anajua lengo lako ni Ngono kama anajielewa unakua umepoteza sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini dada ebu fungukaKwa kupania huku,kesho unatoa boko on the spot
Unapania sanaKwanini dada ebu funguka
great thinker
Aah unataka niharibu cv wewe huna nia njema
Nilijua tu lazma utakuwa mshamba na kweliMi nataka hiyo mbinu ya kula papuchi yake huyu manzi
great thinker
Duuh mkuu uko mbali kimawazo we leta mbinu hapa
Unakuwa very confident kwa kila utachokifanyaAah unataka niharibu cv wewe huna nia njema
great thinker
Hii mbinu itanifaa kweli mkuu sio unataka nikose tonge mdomoniUkifika CHUMBANI vua nguo zoteHAKIKISHA ANAKUONA.... halafu anza COMPLAIN kwamba sababu yeye KAKUONA na ww lazima UMUONE akiwa UCHI.....akivua tu MRUKIE ......
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima nimpanie amenisumbuwa sana huyu manziUnapania sana
Jiandae kutoa bokoLazima nimpanie amenisumbuwa sana huyu manzi
great thinker
Misemo hii haina nafasi kwa kesho mkuu labda nikilamba koni yakeMkamia maji hayanywi
Mawaidha mazuri ambayo nataka nikuambie ni kuwa jiepushe na kufanya mapenzi siku ya kwanza ambapo utadeti ama kumtoa out mwanamke. Jikontrol na ujizuie usionyeshe hisia zako za mapenzi hadi wakati mwingine ambapo mtameet. Sababu ya kusema hivi ni rahisi. Mtakuwa mmebadilisha akili yenu kutoka kudeti kikawaida hadi kudeti kunakoonekana serious. Hii itakuwa deti ya hakika ambapo pia yeye atachukulia vivyo hivyo.Mi nataka hiyo mbinu ya kula papuchi yake huyu manzi
great thinker
Kivipi mkuu funguka
kutunga tarehe za kalenda .
Lakini sijawahi kunywa mkuu hata one day,sitazinguwa kweli tell meUnakuwa very confident kwa kila utachokifanya
Lazima ujiondokee na point 3 muhimu belive me
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ni hivo duh.kutunga tarehe za kalenda .
Yani kumpania ndo nitowe boko kuna mahusiano ganiJiandae kutoa boko