Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Habari za weekend wana chitchat.Huu uzi ni wa kushauriana mambo ambayo hutakiwa kufanya kwenye first date na Yale ambayo ni mazuri unayopaswa kufanya kwenye first date.
Mtoko wa kwanza ni siku ya kufanya tathimini kwa yule una mdate au siku ya kujenga profile.
First date ndio inatowa majibu ya kuwa nawe ama laaa hivyo hii ni siku muhimu sana.
Mtoko wa kwanza ni siku ya kufanya tathimini kwa yule una mdate au siku ya kujenga profile.
First date ndio inatowa majibu ya kuwa nawe ama laaa hivyo hii ni siku muhimu sana.