Huwa hawapiti hukoNakukumbusha Umeangalia jukwaa moja tu!
Jukwaa la science & Tech -------->. Chief mkwawa
Haujajimwambafai inavotakiwa.Kwa kujimwambafai kote huku, sijatajwa...
Kumbe kujimwambafai sio dili.
Mbinu zenu za kunihujumu nishazitambuaHaujajimwambafai inavotakiwa.
Mkuu mi ni mdau sana jukwaa lile sema huwa sichangii mara kwa mara. Mwenyewe ni IT by profession na nathamini sana mkuu CHIEF MKWAWA anavyojitoa kutatua changamoto mbalimbali za member wenzetu pasipo malipo yoyote yale. Popote ulipo Chief ubarikiwe sana.Nakukumbusha Umeangalia jukwaa moja tu!
Jukwaa la science & Tech -------->. Chief mkwawa
Nafasi nyeti kama hizi zinakumbukwa na watu wachache tuMichango ya zawadi zao napokea mimi...kwa niaba ya kamati ya zawadi