First eleven yangu ya members wa JF 2019

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana..

1. Mshana Jr
2. Chige
3. OKW BOBAN SUNZU
4. Salary Slip
5. Khantwe
6. Shadeeya
7. Baba swalahe
8. FORTALEZA
9. joanah
10. Smart 911 (cc mahondaw)
11. manengelo

=====UPDATES======

Kwakua teams haichezi bila wachezaji wa akiba tuongeze hapa..

SUBS :

Mzigua90, Ghazwat, CHIEF-MKWAWA, extrovet, Sky Eclat, Bujibuji, wa stendi, Mwifwa
binti kiziwi

Unaweza panga kikosi chako pia.



UZI TAYARI.
 
Nakukumbusha Umeangalia jukwaa moja tu!

Jukwaa la science & Tech -------->. Chief mkwawa
Mkuu mi ni mdau sana jukwaa lile sema huwa sichangii mara kwa mara. Mwenyewe ni IT by profession na nathamini sana mkuu CHIEF MKWAWA anavyojitoa kutatua changamoto mbalimbali za member wenzetu pasipo malipo yoyote yale. Popote ulipo Chief ubarikiwe sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…