Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mkuu unajua mazungumzo mafupi kuliko yote duniani ni pale unapokuwa chooni halafu anakuja mtu ghafla Na kufungua mlangoHahah unaleta masihara kwenye utani..
Mazungumzo Huwa hivi...
_Wewe_😒: EEEEEH
_Aliefungua mlango_😳: AAAH
MWISHO WA MAZUNGUMZO 😂😂😂😂😂