Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mkuu unajua mazungumzo mafupi kuliko yote duniani ni pale unapokuwa chooni halafu anakuja mtu ghafla Na kufungua mlangoHahah unaleta masihara kwenye utani..
Mh mjumbe, Naomba nikukumbushe tu kwamba... Hoja huwa haipigwi rungu...teh[emoji23]Kwa kujimwambafai kote huku, sijatajwa...
Kumbe kujimwambafai sio dili.
Huyo baba swalehe si wamemzika last week
Haya ni ta derive kwa heshima yko... Though mi nlsoma PCB NA sio pcm mkuuSubiri kesho nikiwa na pc nikutafutie maswali konki... ila kama ungeweza kuderive ile equation ningekupa heshima kubwa
Mkuu wangu leo Nimetokea kuiogopa sana pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muziki kwa sauti ya jenereta langu, akidhani yuko club.....nkamsikia anasema "wee dj noomaaaa"Hahah unaleta masihara kwenye utani..
Haya ni ta derive kwa heshima yko... Though mi nlsoma PCB NA sio pcm mkuu
Mkuu enzi zako unasoma Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"πSubiri kesho nikiwa na pc nikutafutie maswali konki... ila kama ungeweza kuderive ile equation ningekupa heshima kubwa
Mkuu wangu jana nmemuuliza swalehe is a trouser singular or plural?Hahah unaleta masihara kwenye utani..
Hivi mkuu Shetani si aende zake akaombe msamaha kwa Mungu,, watu turudi zetu bustani ya Edeni tukakae uchi, maana nguo nazo zimepanda bei sana siku hiziβ¦!!!Hahah unaleta masihara kwenye utani..
The day i will stop weed i will be the presidentPunguza bangi budaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mh mjumbe, Naomba nikukumbushe tu kwamba... Hoja huwa haipigwi rungu...teh[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wangu jana nmemuuliza swalehe is a trouser singular or plural?
Swalehe: singular at the top and plural at the bottom.
Nimfanyaje huyu dgo natamani nimgawe aisee [emoji23][emoji23]