Hivi Rafael Daudi kimeeleweka?Endapo usajiri wa mnigeria Henry Tony Okoh utafanikiwa basi Yanga itakua na kikosi kipana sana na itakuwa ni changamoto kwa mwl Lwandamina kuchagua kikosi kitakachomfaa kwa siku hiyo.
Binafsi hiki mimi ndiyo kikosi changu cha kwanza(super eleven)
1.Youthe Rostand
2.Juma Abdul
3.Mwinyi Haji.
4.Canavaro
5.Henry Tony Okoh
6.Papy Kabamba Tshishimbi
7.Burhan Yahaya(New Msuva)
8.Raphael Daudi
9.Amisi Tambwe
10.Dolnad Ngoma
11.Ibrahim Ajib.
Sub
12.Kakolanya
13.Kessy
14.Chirwa
15.Kamusoko
16.Yondani
17.Mwashiuya
Afael Daudi kimeeleweka?Endapo usajiri wa mnigeria Henry Tony Okoh utafanikiwa basi Yanga itakua na kikosi kipana sana na itakuwa ni changamoto kwa mwl Lwandamina kuchagua kikosi kitakachomfaa kwa siku hiyo.
Binafsi hiki mimi ndiyo kikosi changu cha kwanza(super eleven)
1.Youthe Rostand
2.Juma Abdul
3.Mwinyi Haji.
4.Canavaro
5.Henry Tony Okoh
6.Papy Kabamba Tshishimbi
7.Burhan Yahaya(New Msuva)
8.Raphael Daudi
9.Amisi Tambwe
10.Dolnad Ngoma
11.Ibrahim Ajib.
Sub
12.Kakolanya
13.Kessy
14.Chirwa
15.Kamusoko
16.Yondani
17.Mwashiuya
Dah.mkuu mbona biashara imeisha na dogo Ni mali 'wananchi' mkuu.
Sorry mkuu nilishindwa kuchukua sauti ya boss wa usajiri juzi,but nautafuta ushahidi zaidi alafu ntakuwekea,but uwe na amani tu dogo tayari biashara imeisha mkuu.
Au awe na panadol pembeni.Mkuu unajua kukipanga kikosi cha Yanga itatakiwa mwl awe anaoteshwa aise na kuletewa first11 usingizini,maana kikosi kizima cha wacheza 25-26 kitakua ni moto wa kuotea mbali.
Mkuu hongera kwa kupangilia kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania bara lakin nina wasiwasi na beki(mlinzi) wa kushoto ambaye ataweza kumsaidia fundi haji mwinyi ngwaliEndapo usajiri wa mnigeria Henry Tony Okoh utafanikiwa basi Yanga itakua na kikosi kipana sana na itakuwa ni changamoto kwa mwl Lwandamina kuchagua kikosi kitakachomfaa kwa siku hiyo.
Binafsi hiki mimi ndiyo kikosi changu cha kwanza(super eleven)
1.Youthe Rostand
2.Juma Abdul
3.Mwinyi Haji.
4.Canavaro
5.Henry Tony Okoh
6.Papy Kabamba Tshishimbi
7.Burhan Yahaya(New Msuva)
8.Raphael Daudi
9.Amisi Tambwe
10.Dolnad Ngoma
11.Ibrahim Ajib.
Sub
12.Kakolanya
13.Kessy
14.Chirwa
15.Kamusoko
16.Yondani
17.Mwashiuya
Kweli mkuu, yanga wanapaswa kusajili beki wa kushoto atakayesaidiana na Haji Mwinyi!Mkuu hongera kwa kupangilia kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania bara lakin nina wasiwasi na beki(mlinzi) wa kushoto ambaye ataweza kumsaidia fundi haji mwinyi ngwali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulipigwa changa cha macho juu ya usajili wa gadiel Michael mbaga kutoka azam aje kuwa msaidizi wa haji mwinyi mpka sasa hakuna taarfa yoyote ya kutuliwazaKweli mkuu, yanga wanapaswa kusajili beki wa kushoto atakayesaidiana na Haji Mwinyi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakuja Gadiel Michael mkuu yule dogo WA Azam so usikonde.Mkuu hongera kwa kupangilia kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania bara lakin nina wasiwasi na beki(mlinzi) wa kushoto ambaye ataweza kumsaidia fundi haji mwinyi ngwali
Sent using Jamii Forums mobile app