First eleven yangu ya Yanga 2017-18

Vyanzo vya habari vinadai Dogo bado anamkataba wa miezi 6 kwa mantik hyo basi Azam wakikomaa hatuwezi kumtumia mpka dirisha dogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure na ndio lengo bcoz Azam waligoma,but nadhani wakishamakizana na Himid Mao Kuja Yanga wiki ijayo I'm sure Ata Gadiel atatoka,manake Yanga na Azam wapo kwenye hatua nzr ya mazungumzo ili kumuachia Himid Mao Kuja Yanga.
 
Sure na ndio lengo bcoz Azam waligoma,but nadhani wakishamakizana na Himid Mao Kuja Yanga wiki ijayo I'm sure Ata Gadiel atatoka,manake Yanga na Azam wapo kwenye hatua nzr ya mazungumzo ili kumuachia Himid Mao Kuja Yanga.
Mkuu Kama himid Mao mkami anakuja yang sikuona kama kuna haja ya kumchukua yule mkongoman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu acha masihara yan Raphael Daudi ndo amweke benchi Kamusoko hapo nimekataa, pili Canavaro lazima ampishe Kelvin Yondani Vidic na mwisho Obrey chirwa hawezi kaa benchi mkuu either Tambwe aanzie benchi au acheze winga ya kulia.
 
Mkuu acha masihara yan Raphael Daudi ndo amweke benchi Kamusoko hapo nimekataa, pili Canavaro lazima ampishe Kelvin Yondani Vidic na mwisho Obrey chirwa hawezi kaa benchi mkuu either Tambwe aanzie benchi au acheze winga ya kulia.
Mkuu huu ni mtazamo wangu tu mkuu,kumbuka Yanga hii ni pana na kuna mafundi wengi kwenye hiyo nafasi,unamkumbuka yule dogo WA mbao fc Pius Buswita?na yeye ni kwenye nafasi hiyo.
 
Kwangu mimi ningependa mwl lwandamina awachezeshe wafuatao
1. Rostand
2.kessy
3.haji mwinyi
4. Mcameroon mpya
5.yondan
6.kamusoko
7.chirwa
8.rafael daud
9.tambwe
10.donald ngoma
11.mwashiuya

Sub
Kakolanya
Cannavaro
Ajib
Tishimbi
Abdul
Buswita

Fomesheni ya team ni 4-2-3-1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wonderful nimekukubali, hatinaye Rafael Daudi ndani ya nyumba.
 
Daaaa! Ni raha tupu kuwa shabiki/mpenzi wa yanga
 
Mkuu huu ni mtazamo wangu tu mkuu,kumbuka Yanga hii ni pana na kuna mafundi wengi kwenye hiyo nafasi,unamkumbuka yule dogo WA mbao fc Pius Buswita?na yeye ni kwenye nafasi hiyo.
Usiwaze mkuu hatugombani tunashauriana tu yote hii katika kuijenga timu yetu.
 
Mkuu kwa fomula hii inabidi Raphael apige kiungo wa chini then kamusoko apande juu,kumbuka kamusoko si mkabaji mzuri sana hasa kwenye mechi ngumu,but kumrudisha Raphael chini ni hasara mkuu,maana huyu dogo pia ni mfungaji mzuri na pia ni fundi wa pass za mwisho thats why Yanga wanakomaa wampate Himid Mao ili Raphael abaki juu daima na Kamusoko.
 
Mkuu wonderful nimekukubali, hatinaye Rafael Daudi ndani ya nyumba.
Pamoja mkuu.Sasa tunamsubiri Himid Mao and hope kwenye mechi yetu ya tar 6.8 na Singida united friend mechi tukamtambulisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…