ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
tzs which makes me millionaire in usd.
TZS which makes me millionaire in USD.
I haven't hit ten yet still in single digit
Shkamoo kaka bilioneaMaisha huku ni matamu sana, huna sababu ya kupata stress sijui nani kawa DC nani kakosa. Vijana tafuteni hela tuwe wengi wengi bana.
Huyu ni mpya? Club yetu Tanzania tunajuana karibia wote kwa majina.Unamaanisha unamzidi Bill Lugano?
Aisee mie naomba kazi niwe personal Assistant wako Mr. BilioneaMaisha huku ni matamu sana, huna sababu ya kupata stress sijui nani kawa DC nani kakosa. Vijana tafuteni hela tuwe wengi wengi bana.
HahahaHuyu ni mpya? Club yetu Tanzania tunajuana karibia wote kwa majina.
Huwezi kugeuka Barbra ukamkimbiza Manara wangu?