First Ladies...of Fashion that Is

First Ladies...of Fashion that Is

Sasa na kapuku nae eti anataka avae hivyo, unajikuta unapata barua ya kustaafu kibanda huna.
Kwa haraka haraka ukitaka kuvaa vile kila siku unatakiwa uwe unaingiza arround $100,000 kwa mwezi.
 
Kwa haraka haraka ukitaka kuvaa vile kila siku unatakiwa uwe unaingiza arround $100,000 kwa mwezi.
Unawahi mitumba ya Manzese kule kuna Calvin Klain dress unapata kwa 50,000 T.sh.
 
th-43.jpeg



The DNC look
michelle-obama_32.jpg
AP_Obama_Dress_01_jrl_160726_4x3_992.jpg
ht_obama_siriano_4x3_992.jpg
 
African first ladies.

slide_306323_2647492_free.jpg
ana-paula-dos-santos.jpg
article-1172240-048F47BA000005DC-802_634x436.jpg


My fav. 🙂

th-44.jpeg
2009-pope-green_1388588i.jpg
 
Bhana Bhana Bhana.
Kuna yule anaitwa Ginna Torres amecheza kama Jessica Pearson kwenye TV show ya SUITS.
Anajua kuvaa mpaka kero. Hajawai kukosea na hajawahi kurudia.
Ukiwa na mke anayevaa vile lazima utakuwa na closet toka Ubungo mpaka Mlandizi.
Yani huyu mama ametisha.
Namjua,sana_uyo_mama_mkuu.
Ginna_torres,ni_level_nyingine.

Very_charming_and_talented_kwenye_fashion,hajawahi_kukosea.

Hata_huyo_michelle_obama_haoni_ndani.
 
Namjua,sana_uyo_mama_mkuu.
Ginna_torres,ni_level_nyingine.

Very_charming_and_talented_kwenye_fashion,hajawahi_kukosea.

Hata_huyo_michelle_obama_haoni_ndani.

Hajawahi kuniangusha toka nimfuatilie kwenye shows anazotokea.
 
Back
Top Bottom