First Lady anaestahili pongezi ni Melaine Trump

Hivi ni kweli kuwa Jackie alitoka na Secret Service?!, au mwingine?

Usikute it was out of frustrations from John. Lakini na yeye alipita haswa with the Kennedy family on top of their family tragedies. Unless kama alitulia after her second marriage.
Inawezekana ujue hakuna accoung sahihi za akicheat na watu gani but kuna barua kabsa ipo jfk ana mwambia Jack hajali kuhusu anacho fanya ila she must be careful for the sake of their children and the presidency.
Na hapo she went to europe for vaccation alikaa kama miez mbili. So zika tokea skendo flan flan huko. Wote walikuwa wana juana tu.
 

Kumbe walianzana kabla hata ya John kuuwawa?!
She married the rich and famous lakini inaonekana alipitia mengi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jfk was furious, not bcoz she cheated but because she was doing it so obviously.
 
Hands down kwa Michelle she was just a modern first lady.
Sasa Melania katurudisha enzi za kina Bess Truman [emoji23].
 
Melaine has the beauty hata mimi ninampenda. Laura Bush alikuwa mama wa nyumbani design
Umenikumbudha Laura, japo mama mkwr wake Babra was loved more as a first lady than her.

Melania anajitahid penyewe kazi alikywa haitaki si mbaya.
 
Pamoja na haters kumwandika vibaya kwenye media kutokana na rangi yake Michelle had a classy. Jackie alitoka kwenye elite family, alikuwa na exposure na kwa wakati ule alikuwa msomi
Ila Michelle mbona media zilikuwa zina muelewa tuu labda zile right wing media. Ila Bado hakupata scrutiny sanaa.

Labda mwanzoni kipindi hawaja mjua they thought she was too angry for no reason.
 
Melaine has the beauty hata mimi ninampenda. Laura Bush alikuwa mama wa nyumbani design

Laura naona mpaka Kesho, design mama wa nyumbani Ile mbaya..

Pamoja na haters kumwandika vibaya kwenye media kutokana na rangi yake Michelle had a classy. Jackie alitoka kwenye elite family, alikuwa na exposure na kwa wakati ule alikuwa msomi

Ile class and elegance halafu was so perfect kwa the handsome J. F. K.
They were a perfect couple ukitoa infidelities za John.
Lakini too bad they were cut short.
 
Hivi sijui kwa nini ma first lady wakijichanganya sana wanakuwa unpopular.
Halafu Hillary aliweka wazi kabisa asingekuwa mama wa nyumbani wa kukaa na ku bake cookies! [emoji2]
Its reasonable
Fikiria wewe ume muajiri fundi halafu unakuta anakuja mke wake ana aanza kukwambia" haya toeni vitu flani weka hapa" huta muelewa na ata kukera.
Na hata rais ndio hivo. Mama we elected your husband not you, now sit down and let him do the job.
Ndio maana Michelle na MA yake ya Havard ilibid naye awe mtulivu kama maza house tuu.
 
Laura naona mpaka Kesho, design mama wa nyumbani Ile mbaya..



Ile class and elegance halafu was so perfect kwa the handsome J. F. K.
They were a perfect couple ukitoa infidelities za John.
Lakini too bad they were cut short.
Hata wazungu wanakubali kuwa baada ya Jackie na JFK the next matching couple was Michelle and Barrack
 
Hata wazungu wanakubali kuwa baada ya Jackie na JFK the next matching couple was Michelle and Barrack
For me
Jackie na Jfk siwapi credit kwakuwa walikuwa wanafekisha mambo.

I liked more Nancy and Ron! Yaan nadhani hawa ndio my relationship goals
Nadhani ndo ana fuata Michelle and Barry.
 


Hahah!, nimependa hii, "I'm just a man who accompanied Jackie to France" [emoji28]
She was a Diana of that time.

Lakini sijapenda the way Joe treated her, wanasema he was so controlling, he wanted every thing to be perfect for his son, kwa hiyo Jackie ndo alikuwa anakuwa victim. Eti mpaka gauni ya Jackie ya harusi lilikuwa chaguo la Joe.
She basically married a family, not only John.
 
..Aliolewa na yule jamaa ili walio kuwa wana muwinda wamwache. Kumbuka RFK alipo uwawa 1968 familia haikuwa safe anymore. She dd that for safety na to get away from any memory of jfk.


Aseeh!, Interesting..

Why her thou?!!, if they had already assassinated JFK and RFK?!
 
For me
Jackie na Jfk siwapi credit kwakuwa walikuwa wanafekisha mambo.

I liked more Nancy and Ron! Yaan nadhani hawa ndio my relationship goals
Nadhani ndo ana fuata Michelle and Barry.
Ooh Nancy na Ronald Reagan ndiyo ilikuwa kule kipindi Cold War ilikuwa kwenye pick time na Urusi kulikuwa na Arina na Mickhail Gorbachev
 
Sasa Joe naye alikuwa ana mcheat mana ake wa JFK bila kificho.
Joe was controlling kwakuwa lengo lake lilikuwa lazima JFK aje kuwa Rais. Kwa hiyo Joe was directing each and everything and it worked.
Joe ndiye alo mwambia JFK kuwa amuweke mdogo wake kuwa AG.
Baada ya hapo Teddy agombee u seneta. Na alikuwa akiongea hakuna wa kupinga.
Joe was the real MVP.
 
Hili tamko pia liliwaudhi mama wa nyumbani walisema “ who does think she is”?

Hahaha, acha tu. Wanawake waliboreka Ile mbaya na hii statement.
No wonder wamemuwekea grudge mpaka kesho. Imagine the very first woman to run for president na wala hakuwa popular ki hivyo sana kwa wanawake..
 
Ooh Nancy na Ronald Reagan ndiyo ilikuwa kule kipindi Cold War ilikuwa kwenye pick time na Urusi kulikuwa na Arina na Mickhail Gorbachev
Enheeee! Aaah Sky uko fireee! [emoji1]
Am enjoy this sky now.

Kwa kweli Nancy na Reagan walikuwa wana pendana, Ron was a powerful man but she treated him like her kid. Na Ron ilikuwa ukitaka umvuruge basi mguse Nancy. Hawa ndio ma role model wangu.
 

Khaa!, aseh. Naona alikuwa kama Diana tu with her love life.
Sijui kwa kwa nini watu kama hawa wanakuwaga na issues sana kwenye mahusiano.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jfk was furious, not bcoz she cheated but because she was doing it so obviously.
 
Hahaha, acha tu. Wanawake waliboreka Ile mbaya na hii statement.
No wonder wamemuwekea grudge mpaka kesho. Imagine the very first woman to run for president na wala hakuwa popular ki hivyo sana kwa wanawake..
She under estimated the power of women, lakini Hillary tangu amshambulie Barrack kwenye ile first campaign ninamuona kama paka, she can attack with teeth and nails
 
Aseeh!, Interesting..

Why her thou?!!, if they had already assassinated JFK and RFK?!
Mmmh! Ile familia ilikuwa ina majanga mwenzio hata sjuagi kwa nini.
Hata Jackie ali olewa na jamaa at least kuhakikisha kuwa ana potza haki zite za u first lady mstaafu na awe mbali na macho ya wanao wawinda. Ambao hadi keo huwa nashindwa kujua. Was it FBI au some mafia gangs tuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…