Ndiyo maana Mr Marckel mume wa Angela Marckel wala hasikiki.This applies to all hata first gentleman, sjui firat man, frist gentleday or what ever names a husband of a female president will be called.
Kama hukuchaguliwa eka makalio chini lay low. Mwache alo chaguliwa apige kazi.
Aaah Sexism mambo yenu Democrats hayo. So much political correctnes mi hata huwa sijali [emoji23].
Wanapenda sanaa.I can imagine Barbara na Laura wote mrs Bush ma wote walisha wahi kuwa First Ladies
Roselynn Carter hawa nao ni great presidential couple ila only after retirement.Who was the spouse of Jimmy Carter?
Sasa Joe naye alikuwa ana mcheat mana ake wa JFK bila kificho.
Joe was controlling kwakuwa lengo lake lilikuwa lazima JFK aje kuwa Rais. Kwa hiyo Joe was directing each and everything and it worked.
Joe ndiye alo mwambia JFK kuwa amuweke mdogo wake kuwa AG.
Baada ya hapo Teddy agombee u seneta. Na alikuwa akiongea hakuna wa kupinga.
Joe was the real MVP.
Yes aaahDuh, kama ilifikia point ya ku fake?!
They were done!
Lakini mtoto wa John Jr. nae uzuri akaja kuwa very handsome and popular with his model wife. But they were cut short too..ile familia!
HahahaBeauty lies on the eyes of beholder
She under estimated the power of women, lakini Hillary tangu amshambulie Barrack kwenye ile first campaign ninamuona kama paka, she can attack with teeth and nails
Eeh sasa ndio inavo kuwaga, au mume wa my WCW Theresa May. Ana lay lowNdiyo maana Mr Marckel mume wa Angela Marckel wala hasikiki is
Aah
She was just a bad candidate na maisha yake ya ikulu yalikuwa yana add more liability.
Akome [emoji1]
Halaf sija mfuatiliaga saaana Diana itabid siku unipe stori yake.
Tuta tafuta ka muda ketu
Joe was the man. Ndio akisaidia hata wizi wa kura za Illinois.Hahahah!, Khaa!!
Na mzee nae kumbe alikuwa ana cheat. Mweeh!![emoji3]
Ama kweli, the real MVP!.[emoji23]
Lakini, hands down kwa Joe aseh!
He's the Source and the Rock of the Kennedy's Dynasty.
The American Royal Family.
Ex wife wa Anold Schwarzenegger ni mmoja kati ya Kennedy wachache waliobaki
Kwa mwanamke haitakiwi uwe power hungry, inabid uwe na charisma tuu pia the feminine part of you isiondoke hata wanaume wengi wata kupigia.She's all about Power, she can do anything to earn it. Hillary sio mchezo aseh!
Mbaya mwingine wa Putin..
Ntakutafuta wewe unipe hzo ABCs Sky ana majukum ya kuhakikisha nchi yetu inakuwa ya viwanda.Hahah!, kwa kweli, hata Sky atakuwa na ABCs zake nyingi tu..
Barbra si ndio wale classy ladies wa enzi hzo. Pia alikuwa ana progran yake hiyo ya literacy kwa watoto.
Babra alipendwa saana.
[emoji23] alisema Jeb ni mpole mno eti ajitahid kujikaza kdogo. Na hampendi Trump mpaka kesho.
I can imagine Barbara na Laura wote mrs Bush ma wote walisha wahi kuwa First Ladies
Ila she was not beautiful labda ndio maana Arnold ali cheat [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Haha, Barbara alimchukia Trump, you could tell on her face! [emoji3]
Wanapenda sanaa.
Eti baby Bush alimwambia mke wake you are the best first lady in american history, mama ake akamnyooshea kidole akamwanbia weweee! [emoji23].
Kwa hiyo bush ikabid aseme kuna ma best first ladies wawili mama ake na mke wake.
Hahahah ile kesi ilinichekesha jamaa alimkataa mtoto wee .Mh!, Iceman Maria mzuri jamani! [emoji3]
Lakini Arnold nae, kwenda kuzaa na housekeeper?!
Halafu mtoto Anold Mtupu..