Rasasem
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 100
- 79
Habari wandugu, napenda kujumuika na ndugu zangu wote ambao wanaingia mwaka wa kwanza wa masomo 2023/2024 katika vyuo vyote tupeane mawazo, ushauri na tusaidizane changamoto zetu, ni njema pia kama ikipendeza hata kutujuza chuo ulichochaguliwa unaweza kupata rafiki mkaanza maisha mapya!
Wakubwa wetu pia tupeni msingi mzuri (ushauri) wa namna bora itakayotufanya tusome Kwa tija tukiwa vyuoni, kipi tuache na kipi Tufanye na si vibaya mkitupa changamoto zenu mlizowahi kupitia ili tujifunze!
Mimi nimechaguliwa UDSM@
Karibuni sana@
Wakubwa wetu pia tupeni msingi mzuri (ushauri) wa namna bora itakayotufanya tusome Kwa tija tukiwa vyuoni, kipi tuache na kipi Tufanye na si vibaya mkitupa changamoto zenu mlizowahi kupitia ili tujifunze!
Mimi nimechaguliwa UDSM@
Karibuni sana@