First year clinical officers training centre Musoma

kagobhe

Member
Joined
Aug 27, 2020
Posts
89
Reaction score
26
Habari wanajamvi,

Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na chuo cha CLINICAL OFFICERS TRAINING CENTRE MUSOMA, kozi Diploma in clinical medicine, kwa yeyote anayekifahamu mahali kilipo na issues za kitaaluma anijuze na pia kama kimesajiliwa na wizara ya afya anajulishe.

Nawasilisha

karibuni [emoji120]
 
Uliombaje chuo bila kupata hizo ABC au umelazmishwa
 
Kipo musom nakifahm coz nmeishi huko
 
We dogo hebu kua kidogo..chuo cha serikali kipo chini ya wizara ya afya hakikosi kusajiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…