kagobhe
Member
- Aug 27, 2020
- 89
- 26
Habari wanajamvi,
Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na chuo cha CLINICAL OFFICERS TRAINING CENTRE MUSOMA, kozi Diploma in clinical medicine, kwa yeyote anayekifahamu mahali kilipo na issues za kitaaluma anijuze na pia kama kimesajiliwa na wizara ya afya anajulishe.
Nawasilisha
karibuni [emoji120]
Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na chuo cha CLINICAL OFFICERS TRAINING CENTRE MUSOMA, kozi Diploma in clinical medicine, kwa yeyote anayekifahamu mahali kilipo na issues za kitaaluma anijuze na pia kama kimesajiliwa na wizara ya afya anajulishe.
Nawasilisha
karibuni [emoji120]