first year mnaoripoti vyuoni muwe makini na wapenzi wapya

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
kkwa binadamu wengi hasa vijana damu huchemka.wengi mmetoka kwenu mmewaacha wapenzi ama wake.na kama unataka uhusiano kwa fresh students kua makini sana.unakuta wiki ya orientation kina dada ameshagawa pipi hata hamjajuana tabia na afya.sisi sio wanyama pori tujiheshimu.
 
mmtawakuta continuing students baadhi wanawaaproach.muwe makini mana wengi wana wapenzi zaidi ya mmoja ndani ya chuo.we waweza kua wa kumi afu ukajishebedua kua wapendwa.wadogo zangu watajifanya wanawapa ushauri wa kimasomo.muwe makini na hawa mafedhuli.
 
Mkuu kigugumizi mpaka kwenye kuandika? Eti Kkwa mara Mmtawakuta, hee mkuu umeniacha hoi!! Ila ujumbe wako uko njema sana, kwa kweli inashangaza kuona binti hata wiki haijaisha keshagawa vitu! Shame on you guys!! Hebu mkuu na sisi tunaoacha wake zetu nyumbani tushauri vizuri kuhusu hayo makitu!
 
aha huko c ndo madem wa mafungu huku ifm toa boom upate penz
 
ifm wao ni pesa sio...udom hawapendi pesa na udsm wadau?
 
kigugumizi chaletwa na device nitumiayo bado sjaijulia na ndo mana hata herufi zote ndogo.
 
Yesar msuli tembo ndio nini
 
asante kwa ushaur. Ila kazi na dawa, hata taarifa ya habari ina matangazo mkuu. Kwahiyo hilo ni la muhimu sana
 
na watu wanajiua kwa sababu ya hayo na pia uhuru unazaa mengi
 
Wadogo zetu!!!
Someni sana huko vyuoni, kaka zenu mtaani tunategemea mkirudi mtakomboa taifa letu.
Kumbe mkifika huko mnaanza --------.astaghafululilahi
 
watu wanatafuta wake vyuoni angalia usije jikuta umekuwa baba watoto bila kutarajia afu bahati mbaya umebambikwa then we hujui dah ! Tulia 'deep ua eyes in the book'..
 
Mkuu kontena jipya hilo wa mwaka jana tupa kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…