first year udom

first year udom

Eselo

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
41
Reaction score
9
jaman wana jf kwa wale wa udom naomben mnijuze first year tunafungua lini,,,ili tuweze kujiandaa
 
Wiki ya pili ya October tutakua wote pande hizo.
 
vp mshiko tusije kufika na kungaa macho,about admission letter inakuwaje wakuu
 
Cha mcng unatakiwa kuwa na pocket money yako ya kukutosha kwa mda km wa mwez 1 hv, coz swala la mshko kwa cc wazoefu huwa unachelewa sana.NB cmlsoma guide bk ya tcu and loans board.
 
Back
Top Bottom