first year udsm mbadilike.....

Daaa dogo kazingua kinoma hapo...!!

Mkalishe chini, umrudishe kiumeni huyo kinda, bado hajayajua maisha.. hapo aache thiatha,arudishe hizo pesa alizopewa na huyo jamaa...

nshamwambia anakataa anasema eti kashazila if pocbo nimpe laki 2 amrudishie ssa me nkaona xo kesi ntatafta tu mwengine.
 
pole sana ulidhani 2nakuwa mafala daima? Mbona ulipokuwa ukipewa za vocha ulikuwa unapokea? Chizi kweli wewe me nimeuza tena pei nzuri kilo 3 kash na semister kalipaaa sio hapa mnajishebedua shebedua 2.

ni vizuri kwa afya ya akili yako
 

ha ha ha ha ha kiuno bila mfupa wewe.
 
Last edited by a moderator:

Hahahhah kakukomoa safi sana......hihihi
 
Unajua watu wanafikiri kubebana ni kulala kitanda kimoja tu.

Ni kuishi kama ndugu na kusaidiana. Kuna leo na kesho, huwezi jua utapata tatizo gani ukiwa chuoni. Bila kuwa na marafiki au watu wa karibu wanaokuelewa utateseka hasa kwa hapa UDSM.
 


Duh. Pole sana. Tatizo wanatanguliza pesa mbele. Wanasahau utu. Wanafikiri kumbeba mtu ni kukaa naye kitanda kimoja tu. Kuna maisha mengi yanaplay part yake hapo. Hasa kwa ambao hawana mkopo wanakurupukaga sana.

Inabidi wawe makini hawa vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…