Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 231
- Thread starter
-
- #21
Daaa dogo kazingua kinoma hapo...!!
Mkalishe chini, umrudishe kiumeni huyo kinda, bado hajayajua maisha.. hapo aache thiatha,arudishe hizo pesa alizopewa na huyo jamaa...
Sasa humu atakusikia?ungemwambia tu live!
pole sana ulidhani 2nakuwa mafala daima? Mbona ulipokuwa ukipewa za vocha ulikuwa unapokea? Chizi kweli wewe me nimeuza tena pei nzuri kilo 3 kash na semister kalipaaa sio hapa mnajishebedua shebedua 2.
tata mvoni....
Unafanya makosa makubwa sana...
Dawa ya Huyu dogo (mtukanaji) ni ndogo sana, tusimpe ushirikiano kabisa,ukimkuta sehemu yoyote amepost kitu, hata kama kikiwa constructive, get your fingers typeless, pita kama hujaona kitu, usimquote wala kureply, a time will reach that he'll learn to be wise....
ni vizuri kwa afya ya akili yako
ndo vle hana lolote anadai ashatumia hela ssa hana jinsi.
ndo vle hana lolote anadai ashatumia hela ssa hana jinsi.
Pesa,pesa plus tamaa.
Dogo nimemsisitiza sana akipata chumba anipe taarifa ,maana nimemtafutia Mtu hapo chuo,lakini kafanya kinyume.....
Nilipata mtu wa kumsaidia kufuatilia Bodi ya Mikopo na jamaa kamuangaikia sana mpaka nimeweza pata namba ya afisa mikopo . Kanichanganya sana
sijui nimpooze vp kijana wa Watu.
Naitafuta adhabu ya kumpa huyu kijana siioni ni kama nitamtesa.
Aaaaaah
majungu na pei za wa2...... Mnunulie pedo.
Daaa dogo kazingua kinoma hapo...!!
Mkalishe chini, umrudishe kiumeni huyo kinda, bado hajayajua maisha.. hapo aache thiatha,arudishe hizo pesa alizopewa na huyo jamaa...
We maisha unayajua?
Pesa,pesa plus tamaa.
Dogo nimemsisitiza sana akipata chumba anipe taarifa ,maana nimemtafutia Mtu hapo chuo,lakini kafanya kinyume.....
Nilipata mtu wa kumsaidia kufuatilia Bodi ya Mikopo na jamaa kamuangaikia sana mpaka nimeweza pata namba ya afisa mikopo . Kanichanganya sana
sijui nimpooze vp kijana wa Watu.
Naitafuta adhabu ya kumpa huyu kijana siioni ni kama nitamtesa.
Aaaaaah
Haya mambo ya kubebana yana chochea ushoga tu
Ndo umeandika nini sasa??
Hahahhah kakukomoa safi sana......hihihi
mkopo k2 gani Ndezi wewe...