1st year ishini vizuri na mliowakutahapo chuo, kuna wengine ni Kama baba na Mama zenu.
Wapeni heshima zao.
Hizi tamaa za vijipesa sio nzuri.Chuo ni sehemu nzuri ya kutengeneza fursa za kujiajiri na kuajiriwa.
Tatizo vijana wengi kwa sasa hawajielewi.
ni noma...mimi sipendi kweli kulala na.mtu ila last year ikabidi nimsaidie dada flani hivi kwa imani kwamba dis year Mungu ataniona tu.thnx God nimepata chumba..ni majangaaaa
Hii tabia ya mtu kukubali kukubeba mkiwa home mkoan afu akifika chuo anapata tamaa afu anabadilika sio nzuri haiezekan mtu umemsaidia mambo mengi kila cku unanunua mb ili achek mambo yake ikiwezekana unamuazima hadi pc afu akija dar akikutana na mtu anayetaka kumbeba na kumlipa hela zaid anakusahau ww ukipiga cm hapokei huu ni ushamba hata cc tulikua freshers na wala hatukuwa na tamaa ya boom la room. Mnaboa sana kama hutaki bora umwambie mtu mapema na wala sio kumchelewesha mpaka chuo kinafungua eti ohhhh sijui nn... Acheni USHAMBA
jukwaa limevamiwa na vilaza,jf inapoteza credibility.
Tatizo vijana wengi kwa sasa hawajielewi.
Kuna vijana kama wa4 hivi, kwa kweli wanachafua jukwaa hadi roho inasononeka...
jukwaa limevamiwa na vilaza,jf inapoteza credibility.