Chifunanga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 290
- 100
Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.
....lakini ustaarabu haukamiliki mpaka ufike kwa watu wa pwani, wewe uko wapi sasa na unatoka bara ya wapi?Mtu ukisema watu wa pwani hawajui ethics za uongozi unaambiwa mdini au una wivu wa kike. Kwa ufupi ni Ikulu mfukoni!
Wakati wa Mzee ruksa watu walikuwa wanaingia Ikulu na kumwita mke wake shemeji na kuuliza kama chai tayari. Enzi za mkwere ndiyo usiseme. Ukiwa na pesa ikulu ni kwako na unashiriki kupanga baraza la mawaziri na teuzi mbalimbali za kitaifa!
Ilikuwa ni siku ya Desemba 9, 2010. Tanzania ilikuwa inasherehekea miaka 49 ya Uhuru wa taifa. Baada ya kukagua gwaride Uwanja wa Taifa, Rais Jakaya Kikwete alifanya dhifa ya kitaifa Ikulu na kualika viongozi wa serikali, mabalozi, viongozi wa dini na wafanyabiashara wakuu.
Waalikwa wote, walikuwa wanaingia Ikulu kupitia mlango wa nyuma ulio karibu na bahari upande wa ferry. Lango kuu la kuingia Ikulu lilikuwa halitumiki kwa wageni siku hiyo na lilitumiwa na Rais na viongozi wengine wakuu. Magari yote, ikiwemo ya mawaziri na mabalozi yalipaki nje ya Ikulu kwenye uwanja mkubwa ulio karibu na ferry na wageni waalikwa waliingia kwa mguu kwenye viwanja vya Ikulu.
Mmoja wa wageni waalikwa mashuhuri wa Kikwete alikuwa ni Tanil Somaiya, mmiliki wa Shivacom Group of Companies.
Wakati mawaziri na mabalozi waliambiwa na maafisa usalama Ikulu watumie mlango wa nyuma wa kuingia Ikulu na kutembea mpaka kwenye gardens ambako sherehe ilifanyika, Tanil alipewa heshima ya kipekee na kuruhusiwa kutumia main entrance gate.
Tanil aliingia Ikulu na gari la kifahari jekundu (a red FERRARI) na kuipaki gari hiyo kwenye mlango mkuu wa kuingia IKULU ambako huwa gari la Rais ndipo linapaki.
Aliiacha FERRARI hiyo hapo kwenye lango la kuingia Ikulu kwa zaidi ya masaa mawili huku akijimwaga kwenye dhifa.
Mawaziri, mabalozi na vigogo wengine walibaki wamepigwa na butwaa iwaje wageni wote waambiwe waingie Ikulu kupitia mlango wa nyuma kwa mguu na kuacha magari yao nje halafu mfanyabiashara huyu apite main gate na kuweka gari lake kwenye main entrance ya lango kuu la kuingia Ikulu.
Tanil ni rafiki wa karibu na business partner wa Shailesh Vithlani, mfanyabiashara ambaye amekimbia nchi kutokana na kashfa ya rada.
Tanil, ambaye ametajwa kwenye WikiLeaks kuhusu rada, amehusishwa pamoja na Vithlani kwenye kashfa ya rada, military trucks, military choppers, Gulfstream presidential jet na scandal nyingine.
Inaeleweka kuwa Tanil alimchangia pesa nyingi sana Kikwete kwenye uchaguzi wa Rais uliopita na pia alitoa helikopta zake zitumike kwenye kampeni ya CCM, lakini hii ndivyo Ikulu ya Mwalimu Julius Nyerere inavyodharauliwa siku hizi?
Kwa kutumia main entrance na kupaki gari lake mbele ya lango kuu la Ikulu, Tanil alikuwa anataka kuwaonesha wageni wote kuwa yeye yuko karibu sana na Rais wa nchi na Ikulu ni kama nyumbani kwake.
Mbaya zaidi, kufuru hii ilifanywa siku ambayo Tanzania inaadhimisha uhuru wake. Kuna uhuru kamili kweli kama watuhumiwa wakubwa wa ufisadi wanafanya kufuru namna hii mpaka IKULU?
Unatarajia kweli Edward Hoseah wa PCCB anaweza kuondokana na uoga wa kumkamata Tanil kwa ufisadi wa rada wakati Rais wa nchi ni besti wake na Ikulu ni kama playground yake?
Tunawacheka kenya kwa Lois Mareno OCAMPO KUPELEKA MAWAZIRI WA SERIKALI THE HEGUE
ILA 2016 JK AND HIS ASSOCIATES WILL GO TO THE HEGUE.. FOR SURE
SIPATI PICHA AKIFUNGWA NA NORTH KOREA WAKASEMA WANAMPA JELA YA KUMFUNGIA...
hii stori itanitia hasira kweli....kwa hiyo mi nimngependa kumuunga mkono kishongo na kuomba ushahidi wa hili jambo.....unataka kusema hakuna hata mmoja kati ya hao waliokuwa wamepigwa butwaa ambaye alipiga picha?.....tuone hata picha jamani. Isije ikawa mtu anatuandikia zakufikirika hapa....sisi tukajawa na jazba za kizushi.
Wadau,
Ferrari yenyewe hii hapa na registration no. yake,hapa ikiwa imepakiwa kwenye parking lot yake ikiwa na mwenzi wake Ferrari orange,
This thing must stop now,enzi za Babu kweli mwanadamu kama huyu tena wa kiasia angeweza enda na kagari haka kakununua kwa hela zetu tulizoibiwa na kukapaki ndani tena ikulu???
umefika wakati serikali yabidi iogope nafasi za kiongozi walizopewa na angalau kuonyesha uoga sio kutuibia,kisha kutuonyesha ufahari usio na msingi unaotuongezea machungu ya makali ya maisha.
Mbona mimi pia nilipita lango kuu na kupaki gari ndani? mimi nadhani hii sio ishu labda kwa washamba tu.Na unajua wengi hum jf ni watu wakuja kila kitu wanakishangaa.Ikulu mtaisikia tu,miaka yote tutakuwa na Rais mmoja at a time na huyo sio lazima awe yule unayemtaka wewe atakuwa ni yule ambae ni chaguo la Mungu kama jk
....lakini ustaarabu haukamiliki mpaka ufike kwa watu wa pwani, wewe uko wapi sasa na unatoka bara ya wapi?
Mbona tittle na habari haviendani? Nini maana ya kufuru? Au wewe hujui kiswahili? Kweli wewe ni zezeta.
eti Ikulu ya Nyerere!!!!
Sio "By few years to come", hivi sasa tayari hakamatiki. Masikini Watanzania sie.Somaiya amenunua kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security, nadhani anafanya warm up ya kuinunua Jeshi la wanachi wa Tanzania pamoja na Polisi.
By few years to come, huyu mtu atakuwa hakamatiki.
Were what? Just wait and see when right time comes?Ndoto za alinacha. If all wishes were.....
Were what? Just wait and see when right time comes?Ndoto za alinacha. If all wishes were.....