Fisadi wa Rada, Tanil Somaiya afanya kufuru IKULU

Hii ni story ya kutungwa.
Hakikutokea kitu kama hiki, hata walinzi waliokuwa zamu siku hiyo wanashangaa mtu anaweza kuandika uongo kama huu.

hii stori itanitia hasira kweli....kwa hiyo mi nimngependa kumuunga mkono kishongo na kuomba ushahidi wa hili jambo.....unataka kusema hakuna hata mmoja kati ya hao waliokuwa wamepigwa butwaa ambaye alipiga picha?.....tuone hata picha jamani. Isije ikawa mtu anatuandikia zakufikirika hapa....sisi tukajawa na jazba za kizushi.
 
....lakini ustaarabu haukamiliki mpaka ufike kwa watu wa pwani, wewe uko wapi sasa na unatoka bara ya wapi?
 

Mbona mimi pia nilipita lango kuu na kupaki gari ndani? mimi nadhani hii sio ishu labda kwa washamba tu.Na unajua wengi hum jf ni watu wakuja kila kitu wanakishangaa.Ikulu mtaisikia tu,miaka yote tutakuwa na Rais mmoja at a time na huyo sio lazima awe yule unayemtaka wewe atakuwa ni yule ambae ni chaguo la Mungu kama jk
 
Wadau,
Ferrari yenyewe hii hapa na registration no. yake,hapa ikiwa imepakiwa kwenye parking lot yake ikiwa na mwenzi wake Ferrari orange,
This thing must stop now,enzi za Babu kweli mwanadamu kama huyu tena wa kiasia angeweza enda na kagari haka kakununua kwa hela zetu tulizoibiwa na kukapaki ndani tena ikulu???
umefika wakati serikali yabidi iogope nafasi za kiongozi walizopewa na angalau kuonyesha uoga sio kutuibia,kisha kutuonyesha ufahari usio na msingi unaotuongezea machungu ya makali ya maisha.
 

Attachments

  • TANIL's.jpg
    38.4 KB · Views: 175
Tunawacheka kenya kwa Lois Mareno OCAMPO KUPELEKA MAWAZIRI WA SERIKALI THE HEGUE

ILA 2016 JK AND HIS ASSOCIATES WILL GO TO THE HEGUE.. FOR SURE

SIPATI PICHA AKIFUNGWA NA NORTH KOREA WAKASEMA WANAMPA JELA YA KUMFUNGIA...
 
Tunawacheka kenya kwa Lois Mareno OCAMPO KUPELEKA MAWAZIRI WA SERIKALI THE HEGUE

ILA 2016 JK AND HIS ASSOCIATES WILL GO TO THE HEGUE.. FOR SURE

SIPATI PICHA AKIFUNGWA NA NORTH KOREA WAKASEMA WANAMPA JELA YA KUMFUNGIA...

Ndoto za alinacha. If all wishes were.....
 
kila kitu kina mwanzo namwisho wake.
YANA MWISHO PIA
 
Issue ni nini? Kupaki Ferrali nyekundu mbele ya lango kuu au kuingia na hiyo gari?
 

Ikulu unaacha camera mlangoni. Japokua siku hiyo hakukua na ukaguzi getini lakini bado kwa anayefaham taratibu za pale ni risk kupiga picha hata kwa simu ya mkononi. Hata hivyo mimi nlibahatika kuwepo siku hiyo, sikuona gari hilo japokua haimaanishi kuwa kitendo hicho hakikutokea kwani mimi nlipitia geti la baharini na sikujali sana nini kinaendelea huko mbele

Hata hivyo inasikitisha sana!
 
Mimi nina Rais wangu moyoni, Kiongozi wangu,namuheshimu na kusikiliza maelekezo yake.

Halafu kuna Rais Mwingine ana Dola,ananitawala kwa unyonge wangu, simkubali na sikumpa kura yangu.
 

Heshima yako JF Senior Exper Member Iteitei Lya Kitee, Ferrari ya Tanil niliyo iona kwa macho yangu mbele ya lango la Ikulu ni hiyo nyekundu. Ni ushenzi sana huu
 

Usitake kudanganya watu hapa. Siku hizi utaratibu Ikulu tangu kuapishwa kwa mawaziri na shuhuli zote zile zenye watu wengi utaratibu ni kuacha magari kwenye uwanja mkubwa uliopo geti la nyuma na watu wanaingia Ikulu kwa mguu. Wanaoruhusiwa kuingia Ikulu kwa magari yao ni Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Rais wa Zanzibar na manaibu wake, na Tanil Somaiya. Au wewe ni mmoja wapo wa watajwa hawa?
 
....lakini ustaarabu haukamiliki mpaka ufike kwa watu wa pwani, wewe uko wapi sasa na unatoka bara ya wapi?

Ustaarabu wa mijitu ya Bara nikutumia makarasi chooni..utaliona jitu limevaa suti ya bei mbaya huku anatembea na haja kubwa....kazzi kweli kweli. Pwani ndio ustaarabu ulikoanzania bwana.
 
Mbona tittle na habari haviendani? Nini maana ya kufuru? Au wewe hujui kiswahili? Kweli wewe ni zezeta.

Ni wewe peke yako tu ambaye unaona title (sio tittle) haiendani na habari. Kwa hiyo wewe ndio mwenye matatizo na huenda ni 'zezeta' wewe!
 
eti Ikulu ya Nyerere!!!!

Love him or hate him, katika marais wote wanne ambao Tanzania imepata, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ndiye kiongozi pekee aliyesimamia maadili ya kiongozi wa umma ipasavyo na alikuwa hawachekei mafisadi. Ilikuwa ni ndoto kuona mafisadi wa aina ya Tanil Somaiya, Yusuf Manji, Subhash Patel na baba yao Rostam Aziz wakienda Ikulu. Hivi sasa kwenye dhifa yoyote ya kitaifa, majina ya mafisadi hawa ndio top on the list kwa VIP guests.

Enzi za Mwalimu hata wana familia yake wakitaka kumuona marufuku kwenda Ikulu. Anakutana nao Msasaaniiii!
 
Somaiya amenunua kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security, nadhani anafanya warm up ya kuinunua Jeshi la wanachi wa Tanzania pamoja na Polisi.
By few years to come, huyu mtu atakuwa hakamatiki.
Sio "By few years to come", hivi sasa tayari hakamatiki. Masikini Watanzania sie.
 
Watoto na familia za mafisadi wanajibu kwa ukari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…