MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Labda yuko busy kimajukumu
Mmh labda kuna jambo lingine tusilolifahamu...tusubiri ukweli utajulikanaHuyu bwana hata mtaani haonekani kabisa yaani hatumpati!
Mmh labda kuna jambo lingine tusilolifahamu...tusubiri ukweli utajulikana
shem, mbona juzi tu alikuwepo humu.
Weee rudi bana, dubei vipi na mwaka ndo ushaisha?Wassup big fella.. hahahaha Mali mi nipo ni majukumu tu ya mwisho wa mwaka yalinizidi..
Sasahivi namalizia kuhesabiwa huku mgombani soon mtaniona nimekuja full kwenye vilinge vyetu..
Pass my warmly greetings to my sisters Heaven Sent and espy.. Peace out bruv
Bado tu unahesabiwa?Wassup big fella.. hahahaha Mali mi nipo ni majukumu tu ya mwisho wa mwaka yalinizidi..
Sasahivi namalizia kuhesabiwa huku mgombani soon mtaniona nimekuja full kwenye vilinge vyetu..
Pass my warmly greetings to my sisters Heaven Sent and espy.. Peace out bruv
Bado anahesabiwa buanaa.Bado tu unahesabiwa?
Hayo mhesabu yanakamilika lini? Na zile mbege ukute kalala mgombani kabisa!Bado anahesabiwa buanaa.
Tatizo akirudi hachukui round ashalimwa ban!Ashamaliza kuhesabiwa buanaa
Mods walivyoona nimekualika mbuzi Machame wakaamua kunipa ban ili tu lengo letu zuri na la kidugu lisitimie..Bado tu unahesabiwa?
Yaani nilimind acha kabisa, nikakosa mualiko hivi hivi nikaishia kupiga mwayo tu, huyo mod na alaaniwe kabisa.Mods walivyoona nimekualika mbuzi Machame wakaamua kunipa ban ili tu lengo letu zuri na la kidugu lisitimie..
Naona aliyeshika makali hapo ni mkali kweli kweli.. Happy new year dada yangu
Happy new year my dear.Mods walivyoona nimekualika mbuzi Machame wakaamua kunipa ban ili tu lengo letu zuri na la kidugu lisitimie..
Naona aliyeshika makali hapo ni mkali kweli kweli.. Happy new year dada yangu